Unacheza AWAY GAME na timu ambayo ni nzuri yaani inakuzidi kila idara, unaamua kucheza 4-3-3 Yaani unaanza na washambuliaji watatu.
Huu ni uamuzi wa ajabu kabisa, isitoshe unajua fika kwamba back 4 yako si nzuri imetoka kupigwa 5 juzi juzi na bado unaamua kuanza na striker 3 yaani Okwi, Kagere na Rashid.
Hivi kocha hajifunzi ulaya mfano EPL ile mechi Chelsea aliyopigwa 4 au ile City aliyopigwa 2 wiki iliyopita?
Alitakiwa acheze na striker 1 lets say Okwi then midfielders 5 yaani Mkude na Kotei kati; Mzamilu Chama na Dilunga.
Rashid na Kagere hawakutakiwa kuanza game ya jana. Pia Beki ya kulia angeanza yule yule Gian; sasa mliona chocholo kule kulia watu wanangongeana one two utafikiri wanafanya mazoezi.
Mfumo ungekuwa kukaa nyuma kusubiri counter attacks; si aibu kupaki basi bwana, eti na wewe unafungua kama wao wewe.
Sasa kipi bora kupaki Bus ama kupigwa Hamsa???
Bechi la Ufundi wajitafakari.
acha niangalie mpira wa Man U hapa; utaona Leistercity watakavyocheza counter, Vady atakuwa mbele anasubiri chance ikitokea ni mbio.
Usijifanye fundi wakati ufundi unazidiwa, kubali kuwa underdog.
Huu ni uamuzi wa ajabu kabisa, isitoshe unajua fika kwamba back 4 yako si nzuri imetoka kupigwa 5 juzi juzi na bado unaamua kuanza na striker 3 yaani Okwi, Kagere na Rashid.
Hivi kocha hajifunzi ulaya mfano EPL ile mechi Chelsea aliyopigwa 4 au ile City aliyopigwa 2 wiki iliyopita?
Alitakiwa acheze na striker 1 lets say Okwi then midfielders 5 yaani Mkude na Kotei kati; Mzamilu Chama na Dilunga.
Rashid na Kagere hawakutakiwa kuanza game ya jana. Pia Beki ya kulia angeanza yule yule Gian; sasa mliona chocholo kule kulia watu wanangongeana one two utafikiri wanafanya mazoezi.
Mfumo ungekuwa kukaa nyuma kusubiri counter attacks; si aibu kupaki basi bwana, eti na wewe unafungua kama wao wewe.
Sasa kipi bora kupaki Bus ama kupigwa Hamsa???
Bechi la Ufundi wajitafakari.
acha niangalie mpira wa Man U hapa; utaona Leistercity watakavyocheza counter, Vady atakuwa mbele anasubiri chance ikitokea ni mbio.
Usijifanye fundi wakati ufundi unazidiwa, kubali kuwa underdog.