Simba kufungwa Kombe la Shirikisho ni fedheha kwa taifa

Simba kufungwa Kombe la Shirikisho ni fedheha kwa taifa

Kwani timu yenu ndio ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki club bingwa Afrika, Simba ilishiriki na ikaongoza kundi ambalo kulikuwa na bingwa mtetezi ambaye aliahika nafasi ya tatu mashindano ya vilabu ya dunia.
Achana na history... we're talking about the moment....

Sio mambo ya
Sisi tuli......

Wali ......
 
Hii timu tuliambiwa ni timu bora kubwa kabisa inayoshika nafasi ya 5 Barani Afrika! Sasa sijui ni kwa nini na yenyewe imekubali kufungwa kirahisi tu na timu ya nafasi ya chini kama hiyo ya Costantine.
Muwe mnafuatilia mambo kabla ya kujiropokesha humu hiyo timu currently ndio inaongoza ligi ya algeria huku timu iliyowafunga ninyi ikiwa nafasi ya tano, acheni kukariri shirikisho lilistahili kuitwa kombe la loosers kipindi kile ambacho timu ikifeli klabu bingwa inaangukia huko kama kilichowakuta ninyi, na siyo kipindi hiki ambacho timu zinashiriki huko directly
 
Mimi ni Mshabiki wa SIMBA SC damu, ila nakubaliana na ulichoandika

Kufungwa mapema hivi katika kombe la Shirikisho tena na kwa usajili mkubwa tuliofanya NI AIBU
 
Mimi ni Mshabiki wa SIMBA SC damu, ila nakubaliana na ulichoandika

Kufungwa mapema hivi katika kombe la Shirikisho tena na kwa usajili mkubwa tuliofanya NI AIBU
Japo makolo wenzako wabishi
 
Kuna timu ipo klabu bingwa imecheza mechi mbili Wana goli 0 na Ina straikers
 
Sijui ni kusahau au ni upotoshaji wa maksudi ila mleta mada atukumbushe matokeo ya mechi ya kwanza hatua ya makundi kati ya uto na monastir
 
Muwe mnafuatilia mambo kabla ya kujiropokesha humu hiyo timu currently ndio inaongoza ligi ya algeria huku timu iliyowafunga ninyi ikiwa nafasi ya tano, acheni kukariri shirikisho lilistahili kuitwa kombe la loosers kipindi kile ambacho timu ikifeli klabu bingwa inaangukia huko kama kilichowakuta ninyi, na siyo kipindi hiki ambacho timu zinashiriki huko directly
Wewe ndio unaropoka Mc algers ndio bingwa mtetezi wa ligi yao baada ya kubeba ubingwa,,current nafasi aliyonayo kwenye ligi inategemea kacheza mechi ngapi na wenzake wamecheza ngapi kutokana na ushiriki wake mechi za kimataifa,,
Kingine unachokosea ni kwamba kombe la shirikisho ni la shirikisho tu ndio maana caf walitaka kulifuta aijalishi icho unachokizungumzia,,Timu za shirikisho ni zile zinazoshika nafasi za pili na tatu na nchi nyingine ni zile zinazoshika nafasi ya 3 na 4 kama ilivyo Tanzania,,ivyo usilinganishe ubora wa timu zinazocheza ligi ya mabingwa na zinazocheza shirikisho utakuwa unakosea pakubwa sana!
 
Wewe ndio unaropoka Mc algers ndio bingwa mtetezi wa ligi yao baada ya kubeba ubingwa,,current nafasi aliyonayo kwenye ligi inategemea kacheza mechi ngapi na wenzake wamecheza ngapi kutokana na ushiriki wake mechi za kimataifa,,
Kingine unachokosea ni kwamba kombe la shirikisho ni la shirikisho tu ndio maana caf walitaka kulifuta aijalishi icho unachokizungumzia,,Timu za shirikisho ni zile zinazoshika nafasi za pili na tatu na nchi nyingine ni zile zinazoshika nafasi ya 3 na 4 kama ilivyo Tanzania,,ivyo usilinganishe ubora wa timu zinazocheza ligi ya mabingwa na zinazocheza shirikisho utakuwa unakosea pakubwa sana!
Na wewe naona unaendeleza alipoishia mwenzio kwenye kuropoka, hapa hatuongelei msimu uliopita tunaongelea msimu huu, maana vikosi tulivyocheza navyo ni vya msimu huu na siyo msimu uliopita

Huyo csc ana mechi 11 na kamzidi mca point mbili ambaye ana mechi 10, na hakuna uhakika huyo mca mechi yake inayofuatia ataondoka na point tatu au la, ndio maana tunaongelea current situation na siyo masuala la "wali" au "wata"

Halafu suala la kusema eti timu ikienda shirikisho maana yake ni timu ndogo, kwahiyo unataka kusema azam ni timu kubwa kuliko simba, kisa wameingia club bingwa au siyo

Hata hivyo ninyi si mlisema msimu huu mna timu tishio na hakuna timu yoyote africa ya kuwafunga matokeo yake mpaka sasa mnaburuza mkia, mechi mbili bila goli wala point halafu mnasingizia eti mko kwenye mashindano magumu mnacheza na timu ngumu, sasa wakati mnajitapa hamkujua kwamba huko kutakuwa na timu ngumu au mliingia bahati mbaya mkajikuta mmevamia mtumbwi wa vibwengo

Bado nasisitiza shirikisho ilistahili kuitwa loosers cup kipindi ambacho wanaofeli club bingwa wanaangukia shirikisho, yani maana yake wewe ni looser huko kwahiyo umeangukia huku ni tofauti na sasa hivi ambapo timu zinaenda shirikisho direct, sasa huoni hicho kitendo ni kama kuipa uzito hiyo michuano kwamba ijitegemee isisubiri mpaka wale waliofeli club bingwa ndio waangukie huko
 
Na wewe naona unaendeleza alipoishia mwenzio kwenye kuropoka, hapa hatuongelei msimu uliopita tunaongelea msimu huu, maana vikosi tulivyocheza navyo ni vya msimu huu na siyo msimu uliopita

Huyo csc ana mechi 11 na kamzidi mca point mbili ambaye ana mechi 10, na hakuna uhakika huyo mca mechi yake inayofuatia ataondoka na point tatu au la, ndio maana tunaongelea current situation na siyo masuala la "wali" au "wata"

Halafu suala la kusema eti timu ikienda shirikisho maana yake ni timu ndogo, kwahiyo unataka kusema azam ni timu kubwa kuliko simba, kisa wameingia club bingwa au siyo

Hata hivyo ninyi si mlisema msimu huu mna timu tishio na hakuna timu yoyote africa ya kuwafunga matokeo yake mpaka sasa mnaburuza mkia, mechi mbili bila goli wala point halafu mnasingizia eti mko kwenye mashindano magumu mnacheza na timu ngumu, sasa wakati mnajitapa hamkujua kwamba huko kutakuwa na timu ngumu au mliingia bahati mbaya mkajikuta mmevamia mtumbwi wa vibwengo

Bado nasisitiza shirikisho ilistahili kuitwa loosers cup kipindi ambacho wanaofeli club bingwa wanaangukia shirikisho, yani maana yake wewe ni looser huko kwahiyo umeangukia huku ni tofauti na sasa hivi ambapo timu zinaenda shirikisho direct, sasa huoni hicho kitendo ni kama kuipa uzito hiyo michuano kwamba ijitegemee isisubiri mpaka wale waliofeli club bingwa ndio waangukie huko
Hapana mkuu....lile shirikisho ni loser cup from the beginning...na saiz kaduguda kaliita kombe la wamama
 
Lakini simba unayoibeza imefika robo fainal ya CAF CHAMPIONS mara ngapi,ngoja tuone wewe mwanaume kama utainusa ata hiyo robo
 
Shirikisho ni sawa na UMISETA
Au mashindano ya akina mama yaani rede au upatu
 
Back
Top Bottom