Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kacheze unakochezaga,hamtoboiMuda bado.... tukutane robo final
Uchambuzi wangu
Kombe la shirikisho (kama linavyoitwa ni kombe ambalo ni low quality linashirikisha timu ndogo zilizojichokea budgetically, financially and physically that's y linaitwa kombe la wamama.......kaduguda (2022)
Our expectations
Tulitegemea Simba hatafungwa mechi yoyote huko kwenye kombe la shirikisho ( kombe la wamama) Kwan hakuna timu tishio .....hivyo tulitegemea Simba atafuata nyendo za Yanga
Imagine kama Simba amekandwa Kee kombe la wamama .. imagine angekuwa club bingwa ingekuwaje????
NB: ni muda wa timu ya Simba kuwapeleka wachezaji kulima mashamba ya migomba huku tukuyu.....hamna mpira pale[emoji32][emoji32]
![]()
Cc: happy uhuru day to all comrades View attachment 3172867
Nyie mlifikiri hata mtu kuitwa mwakarobo kwenye CAF CL ni mchezoHatuongelei history Mkuu [emoji23][emoji23]
Kama hatuongelei history,kwanini huwa mnajiita mabingwa wa kihistoriaHatuongelei history Mkuu [emoji23][emoji23]
Hii timu tuliambiwa ni timu bora kubwa kabisa inayoshika nafasi ya 5 Barani Afrika! Sasa sijui ni kwa nini na yenyewe imekubali kufungwa kirahisi tu na timu ya nafasi ya chini kama hiyo ya Costantine.
Mimi naongelea kwenye zile ranks za CAF mnazojisifia kila siku! Wewe unaleta msimamo wa ligi ya Algeria!View attachment 3173510Huo ndio msimamo as of now huko ligi ya Algeria!Timu iliyoifunga Yanga 2 kavu,iko nafasi ya 5!Timu iliyoifunga Simba 2-1 inaongoza ligi!
Unaweza kupata picha kama Yanga ingecheza na constatine basi Yanga ingekuwa na wakati mgumu zaidi!
Na ninyi ni maloser mlioingia huko kwa bahati mbaya ndio maana mnaburuza mkia bila goli wala point, na wiki hii mnaenda kupigwa tena kwa tp mazembe maana ana point nne na anashika nafasi ya tatu, kwahiyo hawezi kukubali kupoteza point kwao kirahisi ilihali kwenye kundi lenu ninyi ndio vibonde wa hao woteHapana mkuu....lile shirikisho ni loser cup from the beginning...na saiz kaduguda kaliita kombe la wamama
Azam imeshiriki CAF CL league,ina maana Azam ni bora kuliko simba?Mimi naongelea kwenye zile ranks za CAF mnazojisifia kila siku! Wewe unaleta msimamo wa ligi ya Algeria!
Bora Tabora angeshiriki badala ya UtopoloMuda bado mkuu....kule ni club bingwa
Hapana mkuu...ma loser wote wapo shirikisho ( kombe la kina mama )Na ninyi ni maloser mlioingia huko kwa bahati mbaya ndio maana mnaburuza mkia bila goli wala point, na wiki hii mnaenda kupigwa tena kwa tp mazembe maana ana point nne na anashika nafasi ya tatu, kwahiyo hawezi kukubali kupoteza point kwao kirahisi ilihali kwenye kundi lenu ninyi ndio vibonde wa hao wote
Endeleeni kucheza mfumo 4-6 wa Side boy Hadi mshuke darajaHuku sio loser cup mzee