Simba kufungwa mara nne mfululizo siyo dili kama tunavyoaminishwa

Simba kufungwa mara nne mfululizo siyo dili kama tunavyoaminishwa

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle uliyoamua kuitumia, wakati huo huo kumbe kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufulizo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
 
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle unayoangalia, wakati huo huo kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufullzo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
Endelea kujifariji ndugu msomi😂
 
Braza kila nikirefresh page nakutana na uzi wako wa kujitetea kuhusu kipigo cha jana
Screenshot_20241020-171549.jpg
 
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle unayoangalia, wakati huo huo kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufullzo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
Bado hamjasema makolo.
 
Ukishazoea kubanduliwa inafika muda unaona ni jambo la kawaida unazoea... Kwahio mpo sahihi💩
Yaani una banduliwa nje ndani ×4 na unazidiwa points 5 eti siyo dili 😂
 
Ukishazoea kubanduliwa inafika muda unaona ni jambo la kawaida unazoea... Kwahio mpo sahihi💩
Yaani una banduliwa nje ndani ×4 na unazidiwa points 5 eti siyo dili 😂
Point 5 wakati ligi zimechezwa mechi 5-6 tu siyo dili khiiivyo popote pale duniani ila kwa kuwa hapa bongo tuna udhamini kivuli wa GSM ndiyo maana tunaona bingwa ameshapatikana.

Ushahidi kuwa ligi haiko fair ni huu wa kuona bingwa kapatikana baada ya mechi 5.
 
Simba we are good na hakuna baya hadi sasa propaganda zao tutapambana hadi mwisho kuziondoa kwa vitendo this season tupo serious
 
Ungeutendea wema Uzi wako kama ungeweka takwimu Uzi wako.

Yanga na Simba wamecheza jumla ya mechi.....
Simba ameshindwa ..... Na ameshinda.... Droo .....

Pia tuambia Simba amemfunga mfululizo Yanga mara ngapi na kulinganisha Yanga.

Pia niwape poleni wanasimba kwa kimepoteza mwenyekiti wa tawi huko Temeke kisa kipigo Cha Jana.
 
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle unayoangalia, wakati huo huo kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufullzo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
Hoja yako ni dhaifu haaaaa! na bado sana mtasema mnoo ila Yanga ni bora kuliko hiyo Simba ndiyo maana hata wao Simba waliingia wakitaka kuvunja huo mfululizo wa kufungwa na Mabingwa
 
Ungeutendea wema Uzi wako kama ungeweka takwimu Uzi wako.

Yanga na Simba wamecheza jumla ya mechi.....
Simba ameshindwa ..... Na ameshinda.... Droo .....

Pia tuambia Simba amemfunga mfululizo Yanga mara ngapi na kulinganisha Yanga.

Pia niwape poleni wanasimba kwa kimepoteza mwenyekiti wa tawi huko Temeke kisa kipigo Cha Jana.
Usinichagulie takwimu za kutumia. Kama nyie mlivyochagua za mechi nne mfululizo, soma para ya pili uone takwimu nilizoamua kutumia mimi.
 
Hoja yako ni dhaifu haaaaa! na bado sana mtasema mnoo ila Yanga ni bora kuliko hiyo Simba ndiyo maana hata wao Simba waliingia wakitaka kuvunja huo mfululizo wa kufungwa na Mabingwa
Mwaka juzi mlikuwa na propaganda hizi hizi za kuwa Simba ni mbovu ila msimu ulivyoisha kila takwimu ilikuwa inaonyesha Simba ni bora kuliko hata Yanga, mkabaki kusema "hilo ndiyo kombe lenu"
 
Point 5 wakati ligi zimechezwa mechi 5-6 tu siyo dili khiiivyo popote pale duniani ila kwa kuwa hapa bongo tuna udhamini kivuli wa GSM ndiyo maana tunaona bingwa ameshapatikana.

Ushahidi kuwa ligi haiko fair ni huu wa kuona bingwa kapatikana baada ya mechi 5.
Wewe umeshindwa kumfunga Yanga au hata kupata ssre je unadhani nani atakusaidia amfunge Yanga?
 
Wewe umeshindwa kumfunga Yanga au hata kupata ssre je unadhani nani atakusaidia amfunge Yanga?
Huko kwenye kombe la Looser kombe la Shirikisho wanakoenda hata robo hawafiki Yanga yupo Club Bingwa mpaka fainali atatia mguu na kombe la Club Bingwa anachukua ili wavimbe na kupasuka vizuri Yanga bingwa Yanga inawatoa kwenye reli
 
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle unayoangalia, wakati huo huo kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufullzo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
Sasa kwanini mkizidiwa mnajifunga?
 
Mwaka juzi mlikuwa na propaganda hizi hizi za kuwa Simba ni mbovu ila msimu ulivyoisha kila takwimu ilikuwa inaonyesha Simba ni bora kuliko hata Yanga, mkabaki kusema "hilo ndiyo kombe lenu"
Duh, unatia aibu!
 
Back
Top Bottom