Simba kufungwa mara nne mfululizo siyo dili kama tunavyoaminishwa

Simba kufungwa mara nne mfululizo siyo dili kama tunavyoaminishwa

Mzee akili Yako inamavi wewe ushindwe kuifunga yanga zigo uwaangushie wengine unajiona unaakili kweli🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwaka juzi mlikuwa na propaganda hizi hizi za kuwa Simba ni mbovu ila msimu ulivyoisha kila takwimu ilikuwa inaonyesha Simba ni bora kuliko hata Yanga, mkabaki kusema "hilo ndiyo kombe lenu"
Tunaangalia takwimu ndani ya uwanja. Yanga ni bora zaidi ya hiyo SImba yenu na kukufunga atujabahatisha ni ubora wa hali ya juu tulio kuwanao. Lakini pia tumewazoea kulalamika kwenu
 
Tunaangalia takwimu ndani ya uwanja. Yanga ni bora zaidi ya hiyo SImba yenu na kukufunga atujabahatisha ni ubora wa hali ya juu tulio kuwanao. Lakini pia tumewazoea kulalamika kwenu
Kwani nani anatumia takwimu za nje ya uwanja?
 
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle unayoangalia, wakati huo huo kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufullzo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
Wewe ni msomi wa kitu gani? Na umejuaje kuwa wewe ni msomi?
 
Unajua sisi wasomi tunajua takwimu ni kitu unachoweza kukitumia kwa manufaa yako kulingana na angle unayoangalia, wakati huo huo kwa angle nyingine kuna takwimu zinaweza kukuhukumu vibaya, kwa hiyo jambo la msingi ni kujifanya zile takwimu zinazokuhukumu hauzioni au kuzizingatia. Kuna msemo moja nimeusahau kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauongeza.

Ni kweli Simba kafungwa mechi nne mfufullzo na Yanga ila technically Simba imemfunga Yanga msimu uliopita tu kwa hiyo tusifanya kama mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ni enzi na enzi. Kabla ya hizi 4 za mfululizo, Simba ilimfunga Yanga mara 2 mfululizo.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

Yanga wazee wa propaganda walikuwa wanaimba takwimu kama hizi za mchongo mwaka jana ila ukienda kuangalia rekodi walizokuwa wanatamba nazo unakuta kuna sare kibao. Hizo ndiyo takwimu.

Tuwe makini na hawa viumbe, wanajua sana kukuza mambo nje ya uhalisia.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Back
Top Bottom