OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Aichukue,mwacheMo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
Kwani akichukua tatizo nini? Sisi tunahitaji ushindi na burudaniMo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
Acha aichukue tu mashabiki hatuwezi kuendesha timu kubwaMo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mnaanza kuweweseka hahaha hadi mnachoma jeziSafi tu mkitaka chukueni ata wachezaji wote ka mkiweza.. tutahesabu point ifikapo may 2018 mana tutawashindwa nyinyi na sio kagera sugar na wengine wengine
Ngoma ana umri gani?Hivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Yupo u21 ya ZimbabweNgoma ana umri gani?
Define " muda wowote"Habari kubwa iliyonifikia hivi punde ni kwamba striker Donald Ngoma anatarajiwa kusaini mda wowote katika Club kubwa ya Simba.
Inasemekana Ngoma yupo katika mazungumzo ya mwisho na tajiri kijana Mohammed Dewji,na mda wowote atamwaga sahihi
Tunataka makombe yote, ainunue tu ila alete makombe yote!Mo anainunua simba kilainii hapo mnazidisha madeni tu hadi msimu ukiisha mtakuwa mshatumia 10b zinabaki 10b akimalizia anaichukua simba.
Kwa kweli kikosi cha simba kilichopita kilihitaji uzoefu wa wachezaji wachache kimataifa kama Niyonzima, Kapombe na mwingine wa kimataifa, yaani kama wachezaji wanne tu!Hivi kweli tunaweza kuifufua simba kwa kununua wachezaji wazee waliochoka kutoka Yanga ?
Sasa mkuu haya magarasa ukimuweka na John Boko kweli ndio ya kufufua Simba ?Kwa kweli kikosi cha simba kilichopita kilihitaji uzoefu wa wachezaji wachache kimataifa kama Niyonzima, Kapombe na mwingine wa kimataifa, yaani kama wachezaji wanne tu!