ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi
Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na kuwa Simba hawapeleki timu kiwanja
Soma Pia: Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
Jioni ya Leo makomando wa Yanga wamezuia msafari wa mabasi 3 ya Simba kuingia uwanjani na kufanya mazoezi, wakihusisha kuwa Moja ya mabasi Yale kulikuwamo mbuzi hai hivo walisema Nia ya Simba ilikuwa sio kufanya mazoezi Bali kuroga
Tungoje kesho vituko
Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na kuwa Simba hawapeleki timu kiwanja
Soma Pia: Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
Jioni ya Leo makomando wa Yanga wamezuia msafari wa mabasi 3 ya Simba kuingia uwanjani na kufanya mazoezi, wakihusisha kuwa Moja ya mabasi Yale kulikuwamo mbuzi hai hivo walisema Nia ya Simba ilikuwa sio kufanya mazoezi Bali kuroga
Tungoje kesho vituko