Tetesi: Simba kugomea mechi kwakuwa hawakuruhisiwa kufanya mazoezi ya mwisho uwanja wa Mkapa

Tetesi: Simba kugomea mechi kwakuwa hawakuruhisiwa kufanya mazoezi ya mwisho uwanja wa Mkapa

Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi

Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na kuwa Simba hawapeleki timu kiwanja

Soma Pia: Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi

Jioni ya Leo makomando wa Yanga wamezuia msafari wa mabasi 3 ya Simba kuingia uwanjani na kufanya mazoezi, wakihusisha kuwa Moja ya mabasi Yale kulikuwamo mbuzi hai hivo walisema Nia ya Simba ilikuwa sio kufanya mazoezi Bali kuroga

Tungoje kesho vituko
Kama 2021 Yanga hawakukatwa point wala kushushwa daraja basi hata Simba wanajua haliwezi kutokea hivo

NB: Simba na Yanga wanasheria zao tofauti na kina kagera namungo nk kupitia kivuli cha " busara kutumika"
 
Kama 2021 Yanga hawakukatwa point wala kushushwa daraja basi hata Simba wanajua haliwezi kutokea hivo

NB: Simba na Yanga wanasheria zao tofauti na kina kagera namungo nk kupitia kivuli cha " busara kutumika"
Yanga hawezi kukimbia mechi
 
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi

Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na kuwa Simba hawapeleki timu kiwanja

Soma Pia: Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi

Jioni ya Leo makomando wa Yanga wamezuia msafari wa mabasi 3 ya Simba kuingia uwanjani na kufanya mazoezi, wakihusisha kuwa Moja ya mabasi Yale kulikuwamo mbuzi hai hivo walisema Nia ya Simba ilikuwa sio kufanya mazoezi Bali kuroga

Tungoje kesho vituko
Chama langu Simba Sports Club tusisusie mechi
 
Derby hii....kuna mtu anaogopa kivuli chake mpira kwapani mbiooooo
 
2021 walikimbia riadha au?
Yanga walifika muda wa mechi
Simba hakuwepo
Kanuni ilikuwa ratiba ya mechi itabadilishwa kabla ya saa 48 ya mchezo Makonda aliwapigia TFF wahairishe mechi na Yanga wakagoma
 
Hizi siasa zitaisha lini, propaganda za namna hii Simba mtaziacha lini, yaani derby ndo inawachachafya nmna hii na hapa mnakuja na gandas za kutudanganya mashabiki

Uongozi wa Simba ni Uboo uloshindwa kusimama mbele ya mrembo mkali kabsaa .
 
Hizi siasa zitaisha lini, propaganda za namna hii Simba mtaziacha lini, yaani derby ndo inawachachafya nmna hii na hapa mnakuja na gandas za kutudanganya mashabiki

Uongozi wa Simba ni Uboo uloshindwa kusimama mbele ya mrembo mkali kabsaa .
..na mremvo hiyo ni.....
 
Back
Top Bottom