Simba kukata rufaa goli la chirwa wadai aliotea

Jiulizeni Tambwe,Ngoma,Kamusoko wangekuwa vizuri?Hivi Simba walipata shot on target zaidi ya goli la Kichuya


Kwani Hile Last Season Tulipokuwa Pungufu na Tukawalamba Goli 2 kwa Kamoja Yenu Hawa Tambwe na Saumu Soko Hawakuwemo??

Acha Kuweweseka na Draw wewe!!!
 
Watu bwana, eti mara ya mwisho Yanga kuifunga Simba mabasi ya mwendokasi yalikuwa hayajaanza kazi
Wengine wanasema Mara ya mwisho simba kuchukua ubingwa barabara ya mbagala ilikuwa barabara moja
 
Aisha manula wamuongezee hata mshahara kawaokoa Sana Jana magori ya waz kama matatu hv kaokoa
 
Aisha manula wamuongezee hata mshahara kawaokoa Sana Jana magori ya waz kama matatu hv kaokoa


Unaposifu Ushujaa Wa Kipa Pia Usisahau Kuuangalia na Uzembe Wa Wafungaji Wenu....

Wafungaji Wenu Wangelikua Makini, Basi Ushujaa Wa Kipa Usingelionekana Kwani Wamgelifunga..
Lakini Kwa Vile Wafungaji Wenu Walikuwa Wazembe, Ndiyo Manula Kawa Shujaa...
By the Way! Sisi Tunahuzunika Kwa Kukosa Points 3 kwa Kijitimu Kidogo Kama [HASHTAG]#YeboYebo[/HASHTAG], Nyinyi Furahini Kwa Kutoka Sare na Timu Kubwa Kama Simba SC.
 
Yanga acheni ujinga, mtu mwenye akili hawezi kushinda mitandaoni eti anajipongeza kutoa sare na kikosi cha 1.3B
Hiyo Mbao ilipozieliminate Azam na Yanga msimu uliopita kwenye FA, ilikuwa na kikosi cha bilion ngapi? Ushamba unawasumbua
 
Na mara ya mwisho Simba kuchukua ubingwa Rais alikuwa ni Jakaya Kikwete. Sasa Magufuli anaelekea mwaka wa tatu.
Wanasubiri JPM amalize muda wake
Pia hawa wanafunzi wanaoanza mitihani ya kumaliza shule (form four) toka wameanza kidato cha kwanza hawajawahi shuhudia wala kusikia simba bingwa.
 
Kijitimu kidogo ambacho ni bingwa Mara Tatu tunashukuru kutoa draw na timu kubwa ambayo ni msimu WA nne mfululizo ubingwa wanausikia tu.tunashukuru Sana kwakwel sisi kitimu kidogo bingwa mtetez
 
mikia fc hoyeee tunaongoza ligi ingawa yebo wao mikoani wameenda mara 4 sisi mikia mara 2
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Wale mezan fc, wa kupakatwa fc, fifa fc wamedai wanataka kukata rufaa kwa gol la kusawazisha wa chirwa et aliotea


Mezan fc mna bahat sana pambanen na hali zenu hakuna point za bure hapa


LONDON BABY
Wewe ni tondo
 
Tayari manara kapeleka malalamiko TFF nadhani na rufaa ndani yake humohumo.yaani timu kubwa kulalamikalalamika kama wako kwenye mashindano ya mchangani balaa
 
Tayari manara kapeleka malalamiko TFF nadhani na rufaa ndani yake humohumo.yaani timu kubwa kulalamikalalamika kama wako kwenye mashindano ya mchangani balaa


Sio Kweli! Ukisema Simba Wamekata Rufaa itakuwa Unamaanisha Wamemkatia Yanga! Sasa Yanga Akatiwe Rufaa Kwa Kosa Lipi alilolifanya? Je Kachezesha Mchezaji Mwenye Yellow 3 ama?

Na Maamuzi Ya Refa Uwanjani Hayakatiwi Rufaa wala Hakuna Kipengele Cha Sheria Cha Kukatia Rufaa Maamuzi Ya Refa..

Walichokifanya Simba ni Kuwalalamikia Marefa Kuwa Ni Wazembe na Wanazi Katika Maamuzi Yao Kama Walivyofanya PSG kumlalamikia Refa Aliyechezesha Mchezo Wao Dhidi ya Barcelona wakafungwa 6 last Season! Na wala si Rufaa..

Na Maamuzi ya Malalamiko Dhidi ya Refa Huwa inapobainika Refa alifanya Uzembe Hufungiwa na Wala Timu iliyolalamika Haipewi Points wala Mchezo haurudiwi...

[HASHTAG]#YeboYebo[/HASHTAG] Punguzeni uzushi..
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Wale mezan fc, wa kupakatwa fc, fifa fc wamedai wanataka kukata rufaa kwa gol la kusawazisha wa chirwa et aliotea


Mezan fc mna bahat sana pambanen na hali zenu hakuna point za bure hapa


LONDON BABY
Hapa sasa tunaenda sawa.

Alafu Hadji Smanara kama sio chizi, mamake ndio ajuae.
 
Ni mbinu za Manara kuwandaa mbumbumbu wao kisaikolojia maana wanajua hakuna ubingwa.
Wameanza kujenga dhana kwamba wanaonewa sana.
Msimu Uliopita lawama zote ilikuwa Malinzi ni Yanga. Sasa pale TFF, Rais na Makamu wake ni wanachama wa Simba.
Au Karia na Wambura wamehamia Yanga
 


[HASHTAG]#YeboYebo[/HASHTAG] Nyote Muna akili za Chura!
Katika Press Conference nzima hakukua na hata sehemu moja Manara aliyoilalamikia TFF...
Manara aliolalamikia ni Unaa was Marefa uwanjani na wala so nje ya uwanja (TFF)...

Mpira hauchezeshwi na TFF, Bali Ndani ya Pitch anaesimama ni Refa..

So, jifunzeni ufahamu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…