Acha wafu wazikane wenyewUkimsikiliza Bernard Morrison unaona kabisa Simba kuna kitu chini ya kapeti kinaendelea ndio maana bwalya kauzwa. Me nafikiri kama mchezaj mmeshindwana mkataba muachane kiroho safi. Kama ni kweli aliyoyasema BM3 basi simba kuna tatizo kubwa hv unampunguziaje mtu mshahara. Bora kumkata mshahara kama kakosea. Simba tujipange harafu mbona sasa hv hela ipo kama MO anazingua tuachane naye.
Yanga waliingia mkataba na azam wakapewa 40b kwa miaka 10 na wamesema lakini simba kuna mtu anajua chochote.
SIMBA TUBADILIKE TUISHI NA WATU PROFESSIONAL TUACHE KUONEA WATU
Hakuna mgomo, hiyo timu ni mbovu mganga kawadanganya
ZwazwaHakuna mgomo, hiyo timu ni mbovu mganga kawadanganya
Simba kwa sasa siyo timu tishio tena kama ilivyokuwa enzi zile za akina Konde Boy.
jungu la kufungwa na YASC na kuona goli la feisal halidakiki!Ukimsikiliza Bernard Morrison unaona kabisa Simba kuna kitu chini ya kapeti kinaendelea ndio maana bwalya kauzwa. Me nafikiri kama mchezaj mmeshindwana mkataba muachane kiroho safi. Kama ni kweli aliyoyasema BM3 basi simba kuna tatizo kubwa hv unampunguziaje mtu mshahara. Bora kumkata mshahara kama kakosea. Simba tujipange harafu mbona sasa hv hela ipo kama MO anazingua tuachane naye.
Yanga waliingia mkataba na azam wakapewa 40b kwa miaka 10 na wamesema lakini simba kuna mtu anajua chochote.
SIMBA TUBADILIKE TUISHI NA WATU PROFESSIONAL TUACHE KUONEA WATU
Hizo pesa wamechkua ila hawatangaziUkimsikiliza Bernard Morrison unaona kabisa Simba kuna kitu chini ya kapeti kinaendelea ndio maana bwalya kauzwa. Me nafikiri kama mchezaj mmeshindwana mkataba muachane kiroho safi. Kama ni kweli aliyoyasema BM3 basi simba kuna tatizo kubwa hv unampunguziaje mtu mshahara. Bora kumkata mshahara kama kakosea. Simba tujipange harafu mbona sasa hv hela ipo kama MO anazingua tuachane naye.
Yanga waliingia mkataba na azam wakapewa 40b kwa miaka 10 na wamesema lakini simba kuna mtu anajua chochote.
SIMBA TUBADILIKE TUISHI NA WATU PROFESSIONAL TUACHE KUONEA WATU