Ukimsikiliza Bernard Morrison unaona kabisa Simba kuna kitu chini ya kapeti kinaendelea ndio maana bwalya kauzwa. Me nafikiri kama mchezaj mmeshindwana mkataba muachane kiroho safi. Kama ni kweli aliyoyasema BM3 basi simba kuna tatizo kubwa hv unampunguziaje mtu mshahara. Bora kumkata mshahara kama kakosea. Simba tujipange harafu mbona sasa hv hela ipo kama MO anazingua tuachane naye.
Yanga waliingia mkataba na azam wakapewa 40b kwa miaka 10 na wamesema lakini simba kuna mtu anajua chochote.
SIMBA TUBADILIKE TUISHI NA WATU PROFESSIONAL TUACHE KUONEA WATU
Yanga waliingia mkataba na azam wakapewa 40b kwa miaka 10 na wamesema lakini simba kuna mtu anajua chochote.
SIMBA TUBADILIKE TUISHI NA WATU PROFESSIONAL TUACHE KUONEA WATU