Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini

Simba kumchukulia hatua za kinidhamu Kibu Denis kwa kutokuripoti kambini

Unamvunjia heshima huyo ostadh amekuzidi vingi mno kwenye football
Una uhakika gani kama amenizidi vingi?

Kama unamfahamu yeye kwa alivyonavyo na bado hunifahamu mimi ninavyovifahamu utakujaje na hitimisho kwamba kanizidi vingi kwenye football mkuu?
 
Kibu anatikisa ili aambiwe arudishe hela lakini simba wasimwambie hivyo.
 
Una uhakika gani kama amenizidi vingi?

Kama unamfahamu yeye kwa alivyonavyo na bado hunifahamu mimi ninavyovifahamu utakujaje na hitimisho kwamba kanizidi vingi kwenye football mkuu?
Unajulikana kwa comment zako kuwa wewe haujui mpira umeanza kufuatilia mpira mara baada ya kupata smartphone,watu wa mpira tunajuana kwa lugha zetu
 
Mkipewa taarifa rasmi shida msipopewa mkabaki na tetesi na minong'ono shida vile vile.

Watu kama nyinyi hamueleweki mnachotaka.

Simba wamefanya jambo zuri kuutarifu umma kwakuwa timu ni ya wanachama na mashabiki sio ya viongozi pekee.
Hayo ni mambo ya utovu wa nidhamu wala hayapaswi kua taarifa kwa umma.Hicho kitengo cha habari nikama hakina kazi ndio maana wanakuza mambo madogo kama haya.Ziko stage mchezaji akifika ndio unaweza kutoka nakusema.Mengine yanarekebishwa ndani kwanza.ili kutokuleta taswira mbaya ya mchezaji kwa mashabiki.
 
Ushawahi sikia wapi madrid,arsenal man u, wakapiga mchezaji mkwara, ni ukifanya nyoko unakula chuma, hivi ni kuendekeza upumbavu, sisi hatuhitaji kujua juhudi zao, watuoneshe walivyo strict kwa uzembe na upuuzi.
Hizi club haziendeshwi kama taasisi ndo maana mambo yanakua ovyo ovyo na uswahili mwingi.
 
Hayo ni mambo ya utovu wa nidhamu wala hayapaswi kua taarifa kwa umma.Hicho kitengo cha habari nikama hakina kazi ndio maana wanakuza mambo madogo kama haya.Ziko stage mchezaji akifika ndio unaweza kutoka nakusema.Mengine yanarekebishwa ndani kwanza.ili kutokuleta taswira mbaya ya mchezaji kwa mashabiki.
Kwahiyo umesoma heading pekee huko kwenye contents ukawaachia wengine wasome?

Imeelezwa wazi kwamba jihudi nyingi zimefanywa na klabu kumsisitiza aripoti kambini lakini hazijazaa matunda.

Unadhani Simba ni taasisi ya kimagumashi ikurupuke kutoa taarifa kwa umma pasipo kufuata taratibu za ndani?

Sisi mashabiki tumeipongeza klabu kwa kuweka mambo wazi na kuondoa sintofahamu iliyokuwa inaendelea.
 
Kwahiyo umesoma heading pekee huko kwenye contents ukawaachia wengine wasome?

Imeelezwa wazi kwamba jihudi nyingi zimefanywa na klabu kumsisitiza aripoti kambini lakini hazijazaa matunda.

Unadhani Simba ni taasisi ya kimagumashi ikurupuke kutoa taarifa kwa umma pasipo kufuata taratibu za ndani?

Sisi mashabiki tumeipongeza klabu kwa kuweka mambo wazi na kuondoa sintofahamu iliyokuwa inaendelea.
Achana nao hao ndo wa kwanza kuja kusema hapa ooh mbona club ipo kimya mara ooho mbona mambo yanaenda bila kufahamishwa umma...sasa sisi ndo mashabiki na tunatakiwa kujua kinachoendelea club yenye weledi imefanya kama inavyotakiwa..
 
Achana nao hao ndo wa kwanza kuja kusema hapa ooh mbona club ipo kimya mara ooho mbona mambo yanaenda bila kufahamishwa umma...sasa sisi ndo mashabiki na tunatakiwa kujua kinachoendelea club yenye weledi imefanya kama inavyotakiwa..
Sahihi kabisa mkuu.
 
Zama za kuendeshea mambo gizani zimepitwa na wakati sasahivi kila kitu hadharani ili uwajibikaji ufuate mkondo wake.

Ukiona mtu hapendi uwazi basi mtu huyo ni wale wanaopenda umbea sasa wakiona habari imewekwa wazi wanachukia kwasababu watakosa umbea wa kuzungumza.
 
Back
Top Bottom