Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga

Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga

Ihefu hawakucheza mpira wa kiutu uzima
1697439005941.png
 
Ihefu hawakucheza mpira wa kiutu uzima
Nyie si mlikuwa kwenye mashindano ya CUF Champion league?
Nini kilichowafanya mshindwe mpaka uzungumzie Simba awe Yanga?
Acheni kucheza mpira mdomoni. Wewe ushindwe na aliyeshinda uonee wewe una nafasi zaidi kuliko aliyeshinda.
Baghosha. Yelewiiiii
 
Uchambuzi

Ni mjinga tu ataamini kuwa kikosi tia maji tia maji cha Simba [emoji240] [emoji240] kinaweza kumtoa giant Al Ahly.

Ili kumtoa yule jamaa unahitaji watu wenye spidi kwenye kukaba. + kushambulia kama wachezaji wa Yanga max mzengeli yao.

Pia unahitaji wachezaji kama Aziz ki ambao wanaweza kufunga mipira iliyokufa at least kupata goli pale mkitingwa.

NB: Kama utam betia kolo, basi hiyo pesa nunua sabuni pigia puli.

View attachment 2739720
Kazi unayo Kila siku kulalamika tu kuhusu Mnyama haya ushauri wa Bure huo
JamiiForums-1618700955.jpg
 
Wewe mpuuzi Utopolo huyo huyo aliyefungwa mara 2 mfululizo na Ihefu au kuna nyingine?
 
Usijali yanga atakutana na al ahly tena mara mbili so nafasi ya kumfunga bado ipo
 
Back
Top Bottom