Simba kumtambulisha rasmi mchezaji wa kwanza saa saba mchana

Simba kumtambulisha rasmi mchezaji wa kwanza saa saba mchana

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857

Attachments

  • Screenshot_20221224-122224.jpg
    Screenshot_20221224-122224.jpg
    52.3 KB · Views: 6
Una maanisha nini mkuu?
Mkuu nina wasiwasi kama atatosha. Mchezaji wa nje anatakiwa kuzidi kiwango cha anaowakuta, yaani akampige mtu bench. Sio kubahatisha. Tunarudia makosa ya Victor Akpan na bahati mbaya ya Okwa na Qattara. Nidhamu yake pina ni ya mashaka. Umri Jeeee?
Kama shida ni bajeti hapo sawa. Yote ya yote ni mchezaji wangu, namtakia kheri akaendelee alipoishia na goli 4 na assist 6
 
Mkuu nina wasiwasi kama atatosha. Mchezaji wa nje anatakiwa kuzidi kiwango cha anaowakuta, yaani akampige mtu bench. Sio kubahatisha. Tunarudia makosa ya Victor Akpan na bahati mbaya ya Okwa na Qattara. Nidhamu yake pina ni ya mashaka. Umri Jeeee?
Kama shida ni bajeti hapo sawa
Lakini sio kwa Saido mkuu, Saido ni mchezaji mzuri labda uzungumzie swala la umri ila kwa perfomance huwezi kumuweka kundi moja na aina ya Akpan
 
Mkuu nina wasiwasi kama atatosha. Mchezaji wa nje anatakiwa kuzidi kiwango cha anaowakuta, yaani akampige mtu bench. Sio kubahatisha. Tunarudia makosa ya Victor Akpan na bahati mbaya ya Okwa na Qattara. Nidhamu yake pina ni ya mashaka. Umri Jeeee?
Kama shida ni bajeti hapo sawa. Yote ya yote ni mchezaji wangu, namtakia kheri akaendelee alipoishia na goli 4 na assist 6
Huyu hata yanga walikili kuwa wamemuacha sio kwamba kiwango kilikuwa kidogo jamaa yupo vema ila ni short term plan,atasaidia katika mechi za msimu huu,

Faida...

Amezoea mazingira ya ligi yetu
Uzoefu wa mechi za kimataifa
 
Lakini sio kwa Saido mkuu, Saido ni mchezaji mzuri labda uzungumzie swala la umri ila kwa perfomance huwezi kumuweka kundi moja na aina ya Akpan
Lipo wazi
 
Back
Top Bottom