Level moja wakati sisi tunampigia hesabu Bobosi nyie mnasajili Kibabu Saido halafu useme level moja!Coaster ni aina moja wapo ya usafiri pendwa hapa nchini. Na hakuna kosa kisheria kutumia Coaster. Mbeya City na Ruvu ni miongoni mwa timu unazocheza nazo hata wewe kwa hiyo wote ni level moja tu.
Sawa kolo asante kwa ushauri naona umewawakilisha wazee wako kina nyoni, bocco na babu saido.Wenzio wapo group stage kwa kishindo,wewe upo kombe la luza kwa ndondokela yaani nyie kweli hamna akili
Kumbe mnampigia hesabu? Nilidhani mshamsajili tayari. Hesabu hata Chama mlimpigia akiwa Berkane na mkatuaminisha uwa anatua kwenye mihogo. Vipi alitua? Pili Saido angekuwa babu msingemchukua kabla hajawatema. Halafu nyie wala mihogo mkiachwa muwe mnakubali!. Nakukumbusha usajili Simba haujaisha subiri msumari mwingineLevel moja wakati sisi tunampigia hesabu Bobosi nyie mnasajili Kibabu Saido halafu useme level moja!
Mngekuwa sio level moja saa hizi mngekuwa mmepangiwa group stage za Klabu bingwa za CAF na sio huko kwenye kombe la ma looser. Sisi ni hao hao wazee waliotufikisha hapoLevel moja wakati sisi tunampigia hesabu Bobosi nyie mnasajili Kibabu Saido halafu useme level moja!
Naona mzee wa kupanda Coaster unajitutumua mwenyewe na wazee wako hapo klabuni. Subirini kipigo cha paka mwizi toka kwa mafundi wa mpira hapa Masterkey, pale Mayele hapa Sureboy mbona mtapakatwa sana. Au tuwaazime dogo Clement Mzize?Mngekuwa sio level moja saa hizi mngekuwa mmepangiwa group stage za Klabu bingwa za CAF na sio huko kwenye kombe la ma looser. Sisi ni hao hao wazee waliotufikisha hapo
Basi kuna sababu nyingine ambayo Yanga wametumia kuachana na Saido
Hesabu ndio mwanzo wa kumchukua, tulimchukuaga Mbuyu Twitwe kweupe kwa kutumia hesabu hizohizo.Kumbe mnampigia hesabu? Nilidhani mshamsajili tayari. Hesabu hata Chama mlimpigia akiwa Berkane na mkatuaminisha uwa anatua kwenye mihogo. Vipi alitua? Pili Saido angekuwa babu msingemchukua kabla hajawatema. Halafu nyie wala mihogo mkiachwa muwe mnakubali!. Nakukumbusha usajili Simba haujaisha subiri msumari mwingine
Hilo litakuww jambo jema sana kwetu hahaha. Hebu jaribuni muoneHalafu usisahau Yanga tukiamua, tunawaachia Azam washinde ili mshuke mpaka nafasi ya 3! Hivi inabidi hiyo kesho mtushangilie eti!!!
Age cheatingMessi ni mmoja mwenye umri mkubwa kwenye timu, Makolo ni timu nzima
Kapewa mwaka mmoja na miezi sita.Naamini viongozi Wana plan nzuri ya usajili. Kama Saidoo amepewa mkataba wa zaidi ya miezi 6 hapo ndo pa kuweka kweshenea. Lakini kama Uongozi umempa miezi 6 Kwa sharti la kuongeza kama ataonyesha kiwango hiyo iko poa.
Hii timu kuanzia sasa, itambulike tu kama Simba Veteran!! [emoji2][emoji2]
Tenaa? 🤣🤣Wanazingua hao wanatafuta sababu za kubalance na kudiss usajili mi naona atasaidia
kuna kijana anakuja, amepitia kwanza Azam hapo kuchukua mkatabaVikongwe vinazidi kuongezeka kwenye timu yetu, Nyoni, Bocco, Onyango, Kapombe na sasa Saidoo
Hana tatizo la nidhamu. Ukweli ni kwamba ucha Mungu wake ndiyo unamfanya aonekane hana nidhamu. Trust me ni mchezaji mzuri sana. Ingawa umri kweli umeendaMkuu nina wasiwasi kama atatosha. Mchezaji wa nje anatakiwa kuzidi kiwango cha anaowakuta, yaani akampige mtu bench. Sio kubahatisha. Tunarudia makosa ya Victor Akpan na bahati mbaya ya Okwa na Qattara. Nidhamu yake pina ni ya mashaka. Umri Jeeee?
Kama shida ni bajeti hapo sawa. Yote ya yote ni mchezaji wangu, namtakia kheri akaendelee alipoishia na goli 4 na assist 6
Atasaidia sana.Wanazingua hao wanatafuta sababu za kubalance na kudiss usajili mi naona atasaidia