Simba kuna chawa, wanasafiri kila timu inapokwenda, wanalipiwa hadi bando kuandika uzushi mtandaoni

Simba kuna chawa, wanasafiri kila timu inapokwenda, wanalipiwa hadi bando kuandika uzushi mtandaoni

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Kuna mtu namjua na kumfahamu vilivyo, ni kijana msomi ana elimu nzuri ila kawa chawa,

Kila timu inapokwenda kucheza na yeye huenda, ni miongoni mwa wale vijana wa kibegi cha makombe na kapu la magoli, na anamulikwa sana na camera za azam, ana kitambulisho maalumu, anapewa mpaka access ya kupiga picha na kombe la muungano, wachezaji mbali mbali wa simba ili apost mtandaoni aaminike na watu kisha aanze kueneza uzushi.

Yupo huko Facebook na nadhani kuna wengine wengi, hawa vijana wamepewa kazi maalum ya kumtetea Mo kila inapokuja mijadala ya kumkosoa.

Kama timu inawatu wa propaganda msitegemee mambo mazuri
 
Sidhani kama hao ni Chawa..., na kama kuna sehemu chawa wanaweza wakawa sawa basi ni kwenye timu za michezo..., sababu mpenzi wa team yeye ana-hype kila kitu hata kama wakiwa chini bado atajipa moyo...

Kwahio hio itakuwa kazi kama vile kazi nyingine..... And an important one at that....

Na hayo maneno nimeyatoa mimi mchukia chawa.... (Huyu anatangaza timu yake, Wale kule wananyonya kodi zetu kwa kuleta ulaghai na kuwakinga watumishi wetu na kuwa-enable katika uzembe wao)
 
Logikos
Jamaa ni daktari wa binadamu ila kaamua kuwa chawa na hiyo ndio kazi yake ana mpaka badge maalumu ya kumpa access kuonana na wachezaji kupiga picha n.k kusafirishwa bure bando n.k na huwa anakaa upande wa mashabiki yupo kila mechi haijalishi iyacjezwa wapi yeye lazima umuone na hiyo ndio kazi yake hapo simba kusafiri kusifia na kupost uzushi na propaganda
 
Logikos
Jamaa ni daktari wa binadamu ila kaamua kuwa chawa na hiyo ndio kazi yake ana mpaka badge maalumu ya kumpa access kuonana na wachezaji kupiga picha n.k kusafirishwa bure bando n.k na huwa anakaa upande wa mashabiki yupo kila mechi haijalishi iyacjezwa wapi yeye lazima umuone na hiyo ndio kazi yake hapo simba kusafiri kusifia na kupost uzushi na propaganda
Chawa ni nini ?

Nadhani chawa ni kitu kibaya sana na kumfananisha huyu mpenzi na wale Chawa wa kwenye Siasa huenda ni kumtendea kosa huyu Bwana..., alikuwepo Shabiki mmoja wa Pamba ya Mwanza sikumbuki jina lake nadhani alikuwa anaitwa Mang'ombe alikuwa na Baiskeli na kila halftime kwenye game anazunguka uwanja mzima na bendera zake hadi pamba walimnunulia baiskeli..., huyu jamaa alikuwa mpenzi na hata bila kulipwa angefanya anachofanya sasa hawa Die Hard Supporters / Fans sio Chawa na kama ni Chawa basi tunahitaji Chawa zaidi kwenye michezo ku-promote timu zao Just Imagine wale Chawa wa Samia wangekuwa wana-support kina Mtibwa Sugar na Mbao FC si hii Fani ya Kabumbu ingekuwa mbali....
 
Hiyo ni kazi tu kama kazi nyingine, tena hiyo ni kazi halali..... kama sio kazi maalumu.
 
Kuna mtu namjua na kumfahamu vilivyo, ni kijana msomi ana elimu nzuri ila kawa chawa,

Kila timu inapokwenda kucheza na yeye huenda, ni miongoni mwa wale vijana wa kibegi cha makombe na kapu la magoli, na anamulikwa sana na camera za azam, ana kitambulisho maalumu, anapewa mpaka access ya kupiga picha na kombe la muungano, wachezaji mbali mbali wa simba ili apost mtandaoni aaminike na watu kisha aanze kueneza uzushi.

Yupo huko Facebook na nadhani kuna wengine wengi, hawa vijana wamepewa kazi maalum ya kumtetea Mo kila inapokuja mijadala ya kumkosoa.

Kama timu inawatu wa propaganda msitegemee mambo mazuri
Pasi milioni!!
 
Wale waliokuwa wakiitwa makomandoo wa timu wameishia wapi ?

Kuna wengine huwa ni wauza jezi na merchandise za timu na wengine die hard wa timu wanachangishana ktk matawi yao..Kikubwa mjini ni mipango
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
Back
Top Bottom