Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kuna nini huko?
Nyota wa Klabu ya Simba SC, Clatous Chama [emoji1268] kupitia Instastory yake ame-repost tweet ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez akionesha kukubaliana na mawazo yake kwa asilimia 100%.
Barbara aliandika "Usilipize ubaya kwa ubaya lakini usiwe mnyonge kudai haki yako"
Tuambie, unayatafsiri vipi maneno haya?
Source: Futball Planet.
Nyota wa Klabu ya Simba SC, Clatous Chama [emoji1268] kupitia Instastory yake ame-repost tweet ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez akionesha kukubaliana na mawazo yake kwa asilimia 100%.
Barbara aliandika "Usilipize ubaya kwa ubaya lakini usiwe mnyonge kudai haki yako"
Tuambie, unayatafsiri vipi maneno haya?
Source: Futball Planet.