๐๐ช๐ฃ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐ ๐๐ช๐ ๐ค? [emoji848]
Nyota wa Klabu ya Simba SC,Clatous Chama [emoji1268] kupitia Instastory yake ame-repost Tweet ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba,Barbara Gonzalez akionesha kukubaliana na mawazo yake kwa asilimia 100%
Barbara aliandika "Usilipize ubaya kwa ubaya lakini usiwe mnyonge kudai haki yako"
๐๐ฎ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ฃ๐๐ฎ๐๐ฉ๐๐๐จ๐๐ง๐๐๐ ๐ข๐๐ฃ๐๐ฃ๐ค ๐๐๐ฎ๐?[emoji848][emoji1541][emoji1541]
Source: futball planet
View attachment 2686727