Simba kuna nini kinaendelea huko ndani?

Si mlisema ana ujauzito wake? 🤣🤣🤣🤣🤣

Makolo bwana! Ndio maana Mudi kashachoka.
 
Ni hasara sana mwanaume kuwa limbukeni wa ujinga ujinga kama huu.

Mtu kaandika tu unaanza kuhangaika kutafuta maana unayoihitaji wewe ili ufurahishe fikra zako potofu. Stupid!
Kuna shida gan pale ukoloni mkuu
 
Barbara si yupo? Kamuulize! Acheni kutuchosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…