Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kwan ni ajabu kumfuatilia chama we jamaa comment zako huwaga hazina matiki kabisaKumbe unamfuatilia sana Chama
Ungemuuliza hapo hapo si kuna comment box kwa chini au alikupuuza kama ambavyo hapa tunafanya?
Fei aliwakimbia akagoma katakataMwamedi anasusa
Chama anakiamsha
Former CEO ....nae anakiwasa [emoji23][emoji23]
Visirani havipimwi kwa maandishi...Lkn hakuna visirani ....
NAKAZIANi hasara sana mwanaume kuwa limbukeni wa ujinga ujinga kama huu.
Mtu kaandika tu unaanza kuhangaika kutafuta maana unayoihitaji wewe ili ufurahishe fikra zako potofu. Stupid!
Keshokutwa Baleke.Juzi Muddy,Jana Madam na leo Chama,kesho ..........loading........
We mpuuzi fulani tu! NakupuuzaKuna shida gan pale ukoloni mkuu
Barbara si yupo? Kamuulize! Acheni kutuchosha!Kuna nini huko?
Nyota wa Klabu ya Simba SC, Clatous Chama [emoji1268] kupitia Instastory yake ame-repost tweet ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez akionesha kukubaliana na mawazo yake kwa asilimia 100%.
Barbara aliandika "Usilipize ubaya kwa ubaya lakini usiwe mnyonge kudai haki yako"
Tuambie, unayatafsiri vipi maneno haya?
Source: Futball Planet.
Mtine yuko wapiMwamedi anasusa
Chama anakiamsha
Former CEO ....nae anakiwasa [emoji23][emoji23]