Simba kuna vipaji havitumiki

Nilipoona DM watatu kwenye list nikajua tumekwisha.
Alivyo mpuuzi kocha wenu, no9 kaanza na Kibu D.
Nikamuuliza mbumbumbu alie karibu yangu, "unamuelewa kocha wako lakini?"........ Binafs hii mechi namlaumu kocha, kwanini hakuanza na namba 9 halisi?
Japo Jobe ni wakawaida lakini sio wakuwekwa nje na Kibu D.

Angeanza na Jobe wenda mungeambulia hata sare.

Yote kwa yote nawashukuru Ali Ali kwa kunikamatia kenge, maana alishaanza kuleta mazoea.
 
Simba inatatizo la kutokuwa na viungo wanaodrive mipira na kupunguza watu, na umaliziaji pia. Tunataka wachezaji wa viungo wanaotembea na mpira kama iniesta, xavi, modrick, Sasa mchezaji akipata mpira pasi tu Hasogei hata Hatua nne
Kama yule Sarr yaani ana pasi za kusakizia na papatu nyingi yaani akipewa pasi unaogopa maana muda wowote anaweza pokonywa.
 
Yaani yule Sarr sijawahi muelewa kwanza hajiamini akifanyiwa press atapiga pasi ya kusakazia au atarudisha nyuma.
 
Wote wazee hao.
 
Onana ni hopeless player, ni ajabu eti Phiri aliondoka.
Onana ni mchezaji wa hovyo kabisa akikupa matokeo mechi 1 utasubiri mechi nyingine 10 akupe tena performance nzuri anacheza kibishoo
Akipoteza mpira hakabi yani tafrani tupu

Walau miqquesone anakupa kitu mapinduzi cup alikua kasharejesha kiwango chake tumerudi ligi kuu kaanza kupigwa tena benchi..

KAZI IPO KWAKWELI
 
Viungo walikua nani na nani?
 
Phiri alikuwa na ugomvi na viongozi asingewez kuchepa pale msimbaz bora alivyoondoka
Alikataa kuwapa 10% ..hio ndio shida iliyopo, siku watakapotoka huyo try again na baadhi ya wanachama na kuzuia mianya ya utapeli na uwakala simba ndio atakua bingwa CAF, na huku ligi.kuu ndio tusahau kabisa...miaka 5 yanga atakua bingwa. Hapo akili ndio zitakaa vizur
 
Barbra alijitahidi sana kuwafinya walafi pale msimbazi ila unajua waswahili wanapenda majungu wakayapika haswa ilibidi mwanadada ake pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…