Simba kuongoza ligi: TFF na waamuzi mjipange kwa lawama

Simba kuongoza ligi: TFF na waamuzi mjipange kwa lawama

Wasalaam

Hii imekuwa kawaida kwa Yanga(GongoW) na wachambuzi wa mlengo wa kingongoW, yaani kila wakihisi Mnyama kawaacha kwa alama kadhaa lawama zote huwaangukia Karia na waamuzi.

Ushauri wangu:
Jifunzeni kwa mashabiki wa Mnyama, yeye mambo yakimwendea ndivyo sivyo anadeal na wachezaji au viongozi wake.
Mipovu
 
Back
Top Bottom