Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Vinuka mkojo na roho zao za kwanini.Mbona mmepotea?Matokeo ngapi ngapi?
Ohh Nkana mtabadili timu mpaka mkome.
Simba ndio wawakilishi dume Nchi hii wengine wote vibinti tu.
 
On behalf of all Zambians residing in Tanzania, we are full committed to ensure that the Red Devils, Nkana FC, knocks out Simba Sc.
Polee sn chura fc naona unadandia gari kw mbleee
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mchezo wa club bingwa Africa utakaopigwa leo uwanja mkuu wa taifa leo kati ya Simba na Nkana red devils ya pale kitwe Zambia,dhahiri shahili inaonyesha Nkana wananafasi kubwa ya kupata matokeo ugenini huku wakiwa wanaongoza goli 2-1.Huku simba wakihitaji goli moja tu ili kufuzu lakini mashabiki wengi wanawasiwasi na pazia lao pale langoni kama linaweza kuhimili dakika 90 bila kuruhusu huku wakiwa nabeki mbovu kabisa ya wawa ambaye hana speed na umri umenoga,japo wengi wanalialia aanze juko ambaye yeye dakika kumi nyingi atakuwa kala umeme(red card) kwa namna anavyocheza kama mieleka.

Mashabiki wa Simba jiandaeni kisaikologia kwa matokeo ya leo pale Taifa au hata mkienda kucheza sebuleni kwa Mo bado matumaini ni sifuri.

Kila la heri MTANZANIA mwenzetu Hassan Kessy ktk mchezo wa leoView attachment 975185
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna jinsi Kabisa unajua Kessy ni balozi wa nchi huko Zambia... Anawawakilisha watanzania wasiopungua milioni 50....utaonekana wa ajabu uache watu wote Hao halafu upoteze muda kwa watu wasiozidi milioni 2....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katolewa kibira
 
Nasikia mnaongoza dunian kwa kushabikia timu nyingi, mfano juzi kati mlishabikia mbabane, na nkana sasa bado kwenye makundi!
Pambaneni na hali zenu mfanye uchaguzi kwanza!
Hii timu ina tabia ya kukodishwa kodishwa ovyo, ndio Maana hata Manji alitaka kuikodi.
 
Back
Top Bottom