Wawa tena ambae hana pace na wala hawezi kufanya tackles atawaweza washambuliaji wa NkanaSimba pale nyuma aanze wawa na juuko, alafu elasto aende beki wa kulia , shabarara kama kawa, kotei dimba la chini mkude juu, dilunga na chama, okwa na kagere, sub kichuya na boko, game tunashinda
mbona ni kawaida mzee?!Kikosi bora kinafungwa na Mbao FC
Pale nyuma mikia ni majanga tu,manula pazia,wawa Babu,juko dakika 5 red card😁😁😁Wanasimba na Watanzania wazalendo,
Kesho Simba inawakilisha nchi kwenye mechi muhimu kabisa ya marudio. Kikosi cha sasa cha Simba inawezekana kuwa moja ya vikosi bora kabisa toka club hii ianzishwe labda ukitoa vikosi vichache kikiwemo kile kilichofika fainali kombe la CAF mwaka 93.
Ninaomba technical coach wa Simba amtumie stopa tegemeo wa Uganda Cranes Juuko Murshid kama beki wa kati akisaidiwa na Wawa huku Erasto Nyoni akicheza kama beki wa kulia.
Vile vile asiwatumie John Boko na Kagere kwa pamoja bali ni vema mmoja aanze ili timu iwe na wachezaji wengi wenye uwezo wa kuwapikia wafungaji.
Kocha ndiye mwenye maamuzi na ufahamu wa kutosha kuhusu wachezaji na mfumo anaotaka lakini na sisi mashabiki si mbaya tukiwashauri kwa jicho letu la jukwaani.
Kila lakheri mnyamaaaaa!
Hilo halina mjadala,Mikia lazima walale mapema kesho,baada ya hapo ndipo naianza Christmas yangu huku nikisubiri Jumatatu Timu ya Wananchi ikimpiga mtu wiki Taifa.Kesho tutahakikisha tunawarudisha nyumbani vichwa chini.
Jinsi Bwalya atakavyopiga 3 peke yake?Mtashangazwa kesho
Simba 1 Nkana 2simba sc 1-1 nkana
Hahaha jifanye hauelewi tu mkuu ila jua leo mnarudi vichwa chiniHilo halina mjadala,Mikia lazima walale mapema kesho,baada ya hapo ndipo naianza Christmas yangu huku nikisubiri Jumatatu Timu ya Wananchi ikimpiga mtu wiki Taifa.
Kwa hili hapana mkuu,lipo sehemu nyingi nfo raha ya soka mkuu,ni utashi wako uwanjani ushabilie nn,ndo raha ya soka inampa morale ht simba akiskia yanga watakua na nkanaOnly in Africa
Hapana.ni katika kunogesha mpira tu. Mpira unachezwa ndani ya uwanja. Sisi tucheze uwanjani.hata yanga wakishangilia nkana ni sawaa.wale ni watani wetuOnly in Africa
Fully committed..On behalf of all Zambians residing in Tanzania, we are full committed to ensure that the Red Devils, Nkana FC, knocks out Simba Sc.