Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Simba pale nyuma aanze wawa na juuko, alafu elasto aende beki wa kulia , shabarara kama kawa, kotei dimba la chini mkude juu, dilunga na chama, okwa na kagere, sub kichuya na boko, game tunashinda
Wawa tena ambae hana pace na wala hawezi kufanya tackles atawaweza washambuliaji wa Nkana
 
Wapenzi wa Nkana tuoneshwe mapema mahala pa kukomenti humu ndani aisee.vinginevyo tutaonana wabaya.
 
Fellow Zambians, I honour your kindly support for Nkana FC tomorrow at the National Stadium in Daresalam.
United we stand, divided we fall.
 
Fellow Zambians, I honour your kindly support for Nkana FC tomorrow at the National Stadium in Daresalam.
United we stand, divided we fall.
 
Kikosi bora kinafungwa na Mbao FC
mbona ni kawaida mzee?!
hata Barcelona aliwahi fungwa na las Palma team iliyopanda daraja

PSG aliwahi kula nao 4 na real betis katimu ambacho kalikuwa kashika mkia

kama.misimu mi2 nyuma man city alikula kamba 3 FA so who iz simba mpaka asifungwe na mbao???
 
Wanasimba na Watanzania wazalendo,

Kesho Simba inawakilisha nchi kwenye mechi muhimu kabisa ya marudio. Kikosi cha sasa cha Simba inawezekana kuwa moja ya vikosi bora kabisa toka club hii ianzishwe labda ukitoa vikosi vichache kikiwemo kile kilichofika fainali kombe la CAF mwaka 93.

Ninaomba technical coach wa Simba amtumie stopa tegemeo wa Uganda Cranes Juuko Murshid kama beki wa kati akisaidiwa na Wawa huku Erasto Nyoni akicheza kama beki wa kulia.

Vile vile asiwatumie John Boko na Kagere kwa pamoja bali ni vema mmoja aanze ili timu iwe na wachezaji wengi wenye uwezo wa kuwapikia wafungaji.

Kocha ndiye mwenye maamuzi na ufahamu wa kutosha kuhusu wachezaji na mfumo anaotaka lakini na sisi mashabiki si mbaya tukiwashauri kwa jicho letu la jukwaani.

Kila lakheri mnyamaaaaa!
Pale nyuma mikia ni majanga tu,manula pazia,wawa Babu,juko dakika 5 red card😁😁😁
 
Back
Top Bottom