Wawa tena ambae hana pace na wala hawezi kufanya tackles atawaweza washambuliaji wa NkanaSimba pale nyuma aanze wawa na juuko, alafu elasto aende beki wa kulia , shabarara kama kawa, kotei dimba la chini mkude juu, dilunga na chama, okwa na kagere, sub kichuya na boko, game tunashinda