Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

...... Wewe mwandishi na mawazo yako finyu, yasioona mbali dua lako mbaya Kwa Simba likurudie wewe na Yanga yako
 
Iko siku tutapigana vita Halafu tukaombwa support Na adui tukatoa jinsi tulivo nyumbu
Mungu ubariki Simba
Mungu bariki Tz

#Kufanakupona
 
Leo mtaukimbia huu uzi. Nkana anakula 4-1.
 
Pale nyuma mikia ni majanga tu hakuna afadhali wote ni chujio tu
 
...... Wewe mwandishi na mawazo yako finyu, yasioona mbali dua lako mbaya Kwa Simba likurudie wewe na Yanga yako
Vyura wanatamani kuona Simba ikifungwa ili wapate furaha na kwa hakika leo watakuwa kwenye hali mbaya sana

Simba nguvu moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…