Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Hivi Simba SC ilipokwenda kucheza Zambia iliomba support ya washabiki wa timu mahasimu wa Nkana Red Devils?
Mbona sisi watanzania tunakuwa hatuwezi kujitathmini uzalendo wetu? Hii tabia tuiache mara moja, uhasama wetu wa kimichezo uwe ndani ya nchi tu baina ya wenyewe kwa wenyewe, lakini pindi tukishindana na mgeni lazima tuwe kitu kimoja kuishangilia timu yetu ambayo ndiye muwakilishi wa nchi yetu.
Utani ni jadi yetu lakini uzalendo ni kipaumbele chetu.
 
Mchezo wa club bingwa Africa utakaopigwa leo uwanja mkuu wa taifa leo kati ya Simba na Nkana red devils ya pale kitwe Zambia,dhahiri shahili inaonyesha Nkana wananafasi kubwa ya kupata matokeo ugenini huku wakiwa wanaongoza goli 2-1.Huku simba wakihitaji goli moja tu ili kufuzu lakini mashabiki wengi wanawasiwasi na pazia lao pale langoni kama linaweza kuhimili dakika 90 bila kuruhusu huku wakiwa nabeki mbovu kabisa ya wawa ambaye hana speed na umri umenoga,japo wengi wanalialia aanze juko ambaye yeye dakika kumi nyingi atakuwa kala umeme(red card) kwa namna anavyocheza kama mieleka.

Mashabiki wa Simba jiandaeni kisaikologia kwa matokeo ya leo pale Taifa au hata mkienda kucheza sebuleni kwa Mo bado matumaini ni sifuri.

Kila la heri MTANZANIA mwenzetu Hassan Kessy ktk mchezo wa leo
FB_IMG_1545550967760.jpg
 
Mkuu hiyo roho mbaya sana,acha kusema ukweli utaua mikia kwa pressure
 
Back
Top Bottom