Tetesi: Simba kupata Captain mpya hivi karibuni

Nani anastahili kuwa nahodha mpya wa Simba?

  • Henock Inonga

    Votes: 11 16.7%
  • Shomari Kapombe

    Votes: 7 10.6%
  • Clatous Chama

    Votes: 12 18.2%
  • Che Malone

    Votes: 3 4.5%
  • Fabrice Ngoma

    Votes: 4 6.1%
  • Mzamiru Yassin

    Votes: 4 6.1%
  • Moses Phiri

    Votes: 2 3.0%
  • Denis Kibu

    Votes: 16 24.2%
  • Essomba Onana

    Votes: 5 7.6%
  • Kennedy Juma

    Votes: 2 3.0%

  • Total voters
    66
  • Poll closed .
Mbona nyie mliingilia suala la Feisal na hata majuzi hapo mkamuunga mkono Gamondi kwenye kukataa mechi kupewa jina la mchezaji?

Tanzania ni yetu sote kabla ya timu, na maendeleo hayana timu Mkuu.
Wewe tuu maoni yako yanapokelewa, wenzio watuache kwanza ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€
 
KWA HIYO SHABALALA HANA UFAHAMU NA ILE LUGHA YA KIKOLONI?
 
Ndo maana wenye akili ni wawili Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wasio na akili wamewazalisha Simba mapacha waliofana wawili sura ya zengeli...na wengine watatu kila mmoja ana sura ya baba yake...mmoja sura azizi....mwingine sura ya musonda....na wa mwisho pacome mtupu....bado MAMA anakandwa maji ya uvuguvugu mbususu irudi kwenye hali yake.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Acha kupenda ushoga...kizazi chako kitalaaniwa kwa maneno yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ