Tetesi: Simba kupata Captain mpya hivi karibuni

Tetesi: Simba kupata Captain mpya hivi karibuni

Nani anastahili kuwa nahodha mpya wa Simba?

  • Henock Inonga

    Votes: 11 16.7%
  • Shomari Kapombe

    Votes: 7 10.6%
  • Clatous Chama

    Votes: 12 18.2%
  • Che Malone

    Votes: 3 4.5%
  • Fabrice Ngoma

    Votes: 4 6.1%
  • Mzamiru Yassin

    Votes: 4 6.1%
  • Moses Phiri

    Votes: 2 3.0%
  • Denis Kibu

    Votes: 16 24.2%
  • Essomba Onana

    Votes: 5 7.6%
  • Kennedy Juma

    Votes: 2 3.0%

  • Total voters
    66
  • Poll closed .
Duh Kibu Mkandaji anaongoza mpaka sasa, ama kweli nyota yake inazidi kung'aa. Zimebaki kura 6 tufunge zoezi.
 
Tumefunga zoezi la kupiga kura na walioongoza ni:

Denis Kibu
Clatous Chama
Henock Inonga

Tusubiri tuone captain mpya atakuwa nani. Asanteni kwa kushiriki.
 
Tumefunga zoezi la kupiga kura na walioongoza ni:

Denis Kibu
Clatous Chama
Henock Inonga

Tusubiri tuone captain mpya atakuwa nani. Asanteni kwa kushiriki.
Hapo hakuna anaefaa kuwa Captain.
 
Back
Top Bottom