Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Bahati mara mbili ,sio.?Ule msako alopigwa Simba Taifa na kule Misri, hakika ni bahati tu ilikuwa upande wa Simba. Simba hakuna timu pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mara mbili ,sio.?Ule msako alopigwa Simba Taifa na kule Misri, hakika ni bahati tu ilikuwa upande wa Simba. Simba hakuna timu pale.
Huyo huyo wanayemtegemea awafunge Ahly [emoji23]Kwa yule Mzize.?
[emoji1]
Sawa si watakuja mtacheza nao.weka akibaHata Ihefu iliifunga Yanga. Lakini Inawezekana pia ligi ya Egypt inashuka pia na ligi ya Tanzania imepanda. Yaani Al-ahly inapata matokeo kwenye timu dhaifu za ligi
Uimara gani kweli yule magoli waliopiga off target kwa mazingira ya kawaida angekosa.Akhsanteni kwa kutuletea mvuani uimara wa simba japo sio timu yangu
Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora![]()
Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.
Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.
Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.
Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................![]()
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile appni
Ni vigumu sana kusema Simba imeimarika kwakuwa kwa miaka 2 bingwa wa ligi ni Yanga, kwa miaka 4 Simba inaishia robo finali za mashindano ya CAF na juzi TU imeshindwa kumtoa Al-Ahly AFL wakati ilikuwa na uwezo huo.Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora [emoji16]
Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.
Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.
Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.
Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................[emoji35]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nakazia.Fluke iliyosindikizwa na ndumba.
Hapana ni BoccoKwa yule Mzize.?
[emoji1]
Al-Ahly anafahamu vitu vitatu (3) mpaka sasa hivi kuhusu CAF championship, kwamba Yanga ilicheza finali za Caf confederation, US Algers ilifungwa na Yanga nyumbani kwao, na Yanga ndio club bingwa wa ligi ya Tanzania kwa miaka 2 mfululizo kwenye ligi ambayo Simba imo pia. Matokeo ya mpira ndiyo yatakayoamua mechi lakini sio udhaifu wa Yanga.Sawa si watakuja mtacheza nao.weka akiba
Na uyo mamelod amekua akimfunga al haly alafu anaishia wapi mwaka Jana kampiga pale south za kutosha mwenzake kaenda kua bingwa yeye je?Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora [emoji16]
Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.
Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.
Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.
Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................[emoji35]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Timu za kaskazini ni kama vile zimeruhusiwa na caf/'FIFA kucheza kihuni bila kupewa adhabu wakiwa nyumbani kwao. HIzi timu za kaskazini mpira wao umefikiwa na timu za kanda nyingine lakini zinatumia mbinu chafu kama kuwasha moto, kumulika tochi usoni, kujiangusha, nk. ili kushinda.Na uyo mamelod amekua akimfunga al haly alafu anaishia wapi mwaka Jana kampiga pale south za kutosha mwenzake kaenda kua bingwa yeye je?
Yanga akimfunga Al Ahaly hata mechi moja tu. Mashabiki wa Simba mtakoga matusi ni mpaka mchanganyikiwe. Tuombee Yanga naye afungwe au atoke sare ili kuchekana kuwe pale pale.Jibu utalipata hivi karibuni mtakapokutana kwenye makundi.
Al Ahly ya moto ilipata taabu kumtoa Yanga miaka ile, sijui Al Ahly hii UNGA itapataje ahueni,,,Yanga akimfunga Al Ahaly hata mechi moja tu. Mashabiki wa Simba mtakoga matusi ni mpaka mchanganyikiwe. Tuombee Yanga naye afungwe au atoke sare ili kuchekana kuwe pale pale.