Simba kupata sare na Al-Ahly ni uimara wa Simba au udhaifu wa Al-Ahly?

Simba kupata sare na Al-Ahly ni uimara wa Simba au udhaifu wa Al-Ahly?

Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora
emoji16.png


Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.

Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.

Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.

Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................
emoji35.png


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile appni

Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora [emoji16]

Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.

Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.

Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.

Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................[emoji35]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ni vigumu sana kusema Simba imeimarika kwakuwa kwa miaka 2 bingwa wa ligi ni Yanga, kwa miaka 4 Simba inaishia robo finali za mashindano ya CAF na juzi TU imeshindwa kumtoa Al-Ahly AFL wakati ilikuwa na uwezo huo.
 
Sawa si watakuja mtacheza nao.weka akiba
Al-Ahly anafahamu vitu vitatu (3) mpaka sasa hivi kuhusu CAF championship, kwamba Yanga ilicheza finali za Caf confederation, US Algers ilifungwa na Yanga nyumbani kwao, na Yanga ndio club bingwa wa ligi ya Tanzania kwa miaka 2 mfululizo kwenye ligi ambayo Simba imo pia. Matokeo ya mpira ndiyo yatakayoamua mechi lakini sio udhaifu wa Yanga.
 
Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora [emoji16]

Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.

Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.

Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.

Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................[emoji35]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na uyo mamelod amekua akimfunga al haly alafu anaishia wapi mwaka Jana kampiga pale south za kutosha mwenzake kaenda kua bingwa yeye je?
 
Na uyo mamelod amekua akimfunga al haly alafu anaishia wapi mwaka Jana kampiga pale south za kutosha mwenzake kaenda kua bingwa yeye je?
Timu za kaskazini ni kama vile zimeruhusiwa na caf/'FIFA kucheza kihuni bila kupewa adhabu wakiwa nyumbani kwao. HIzi timu za kaskazini mpira wao umefikiwa na timu za kanda nyingine lakini zinatumia mbinu chafu kama kuwasha moto, kumulika tochi usoni, kujiangusha, nk. ili kushinda.
 
Yanga akimfunga Al Ahaly hata mechi moja tu. Mashabiki wa Simba mtakoga matusi ni mpaka mchanganyikiwe. Tuombee Yanga naye afungwe au atoke sare ili kuchekana kuwe pale pale.
Al Ahly ya moto ilipata taabu kumtoa Yanga miaka ile, sijui Al Ahly hii UNGA itapataje ahueni,,,
 
Back
Top Bottom