Simba kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali, Rwanda

Simba kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali, Rwanda

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Inasemekana Klabu ya Simba ipo mbioni Kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali Nchini Rwanda

Hili Linakuja baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa na CAF baada ya kukosa vigezo, pia Uwanja Wa Aman Uliopo Zanziba upo kwenye Matengenezo hivyo haupo tayari kwa matumizi, na vile vile Uwanja wa Azam complex uliopo Chamazi hauna Vigezo kwa matumizi ya michuano hii kwenye hatua ya Robo fainal
20250308_173535.jpg
 
Bora waende kigali..hili linchi halina shukurani kwa timu iliyoleta heshima na kuitambulisha Tanzania Duniani kisoka...Simba ni kubwa kuliko Tanzania.
Hii taarifa imenitia hasira sana. Hizi ni hujma za wazi dhidi ya Simba.

Niliwahi kusema msimu huu utakapokuwa unaisha, Simba ina nafasi ya kuwa klabu ya 3 kwa ubora Afrika. Kuna watu hili linawatisha na ndiyo maana vita inazidi kuwa kubwa.
 
Simba haiwezi kwenda kucheza Rwanda, mbona ni kitu simple tu kujua hilo?

Watu mnashindwa kusoma alama za nyakati.
 
Ule wa Azam kwa hatua ya robo fainal haikidhi vigezo vya CAF na Aman upo kwenye matengenezo
Kwa mujibu wa msemaji wa serikali anasema uwanja wa kwa mkapa upo sawa na amewaambia maafisa wawaite wakaguzi waje kukagua hata leo.
 
Kwa mujibu wa msemaji wa serikali anasema uwanja wa kwa mkapa upo sawa na amewaambia maafisa wawaite wakaguzi waje kukagua hata leo.
Mzee wa ufafanuzi Muongomuongo anatetea kazi za watu ile 30B imepigwa na kuna michuano ya CHAN inakuja CAF si Wajinga wanajua huu ndo Muda wa kuwashinikiza Wafanye marekebisho ili hii michuano isije ikafeli tena
 
Hii taarifa imenitia hasira sana. Hizi ni hujma za wazi dhidi ya Simba.

Niliwahi kusema msimu huu utakapokuwa unaisha, Simba ina nafasi ya kuwa klabu ya 3 kwa ubora Afrika. Kuna watu hili linawatisha na ndiyo maana vita inazidi kuwa kubwa.
Simba imebakiwa na mechi mbili, kelele zitakuwa zimeisha mjini
 
Inasemekana Klabu ya Simba ipo mbioni Kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali Nchini Rwanda

Hili Linakuja baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa na CAF baada ya kukosa vigezo, pia Uwanja Wa Aman Uliopo Zanziba upo kwenye Matengenezo hivyo haupo tayari kwa matumizi, na vile vile Uwanja wa Azam complex uliopo Chamazi hauna Vigezo kwa matumizi ya michuano hii kwenye hatua ya Robo fainalView attachment 3267712
Hawataki azam complex
 
Back
Top Bottom