Simba kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali, Rwanda

Simba kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali, Rwanda

Hii taarifa imenitia hasira sana. Hizi ni hujma za wazi dhidi ya Simba.

Niliwahi kusema msimu huu utakapokuwa unaisha, Simba ina nafasi ya kuwa klabu ya 3 kwa ubora Afrika. Kuna watu hili linawatisha na ndiyo maana vita inazidi kuwa kubwa.
Dhahabu ikipita kwenye moto inang'aa mkuu. Tafsiri ya ubaya ubwela iendelee kufanya kazi. Popote pale ubaya ubwela ifanye kazi..
 
Umeambiwa Aman upo kwenye matengenezo, na Azam haukizi vigezo
Yataachaje kua kwenye marekebisho yasiyoisha mara leo mwamposa mara sjui mkesha mara sjui ccm vibweka mara sjui maquran wanauchosha uwanja..
 
Inasemekana Klabu ya Simba ipo mbioni Kupendekeze uwanja wa Amahoro Stadium uliopo Kigali Nchini Rwanda

Hili Linakuja baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa na CAF baada ya kukosa vigezo, pia Uwanja Wa Aman Uliopo Zanziba upo kwenye Matengenezo hivyo haupo tayari kwa matumizi, na vile vile Uwanja wa Azam complex uliopo Chamazi hauna Vigezo kwa matumizi ya michuano hii kwenye hatua ya Robo fainalView attachment 3267712
Samia ndiyo katufikisha hapa ...kama nilivyo sema siku za nyuma kuwa kanuni ya kiuongozi ni kuwa viongozi wapumbavu uchaguana wao kwa wao hili kuongoza na viongozi wenye akili uchaguana wenye akili.kwa akili hili kuongoza ...siku zote hadui no 1 wa kiongozi mpumbavu ni mtu mwenye akili katika uongozi hivyo upigwa vita na nafasi yake upewa mpumbavu .na adui no 1 wa viongozi mwenye akili ni viongozi mpumbavu hivyo viongozi mwenye akili umwaondoa viongozi wapumbavu kwenye uongozi na nafasi yake awapatia watu mwenye akili.
 
Back
Top Bottom