Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kwanza niweke kumbukumbu sawa mimi ni shabiki wa Yanga... Pili kwa Simba ya msimu uliopita ilikuwa ya kuongeza wachezaji wachache tu kiungo wa juu mmoja wa chini mmoja kipa na striker wawili wa kutumainiwa, kwenye striker wamefanya vizuri wamemrudisha Okwi lakini tunaona asipokuwepo timu inapata shida sana kufunga japo inatengeneza nafasi nyingi sana, sehemu ya kiungo inafanya majukumu yao sahihi pasi na shaka, ukija ulinzi Nyoni, Mwanjali, Mlipili, Mbonde, Tshabalala, Ally Shomari Hata na Kotei wanaitendea haki....
Bado ule upungufu wao wa msimu uliopita umebaki kwenye nafasi ya ushambuliaji lakini bado wanasuasua kupafanyia kazi. Leo wamesajili Beki kutoka Ghana Maliki Ismaila na wanamuacha Mavugo sawa Mavugo ili huyu apate nafasi sawa Mavugo hajafikia malengo ya timu, kwa nini usitoe Mavugo ukaleta Chuma kikali cha ushambuliaji!!??
Nasikia Kuna mfungaji bora wa Rayon Sport anakuja hiyo maana yake Kuna mchezaji mwingine wa kimataifa atakatwa...
Unamsajili mchezaji wa kimataifa kwa gharama anakuja anakaaa benchi kama ilivyokuwa kwa Blagnon na sasa Gyan afu katikati ya msimu tunamuacha. Si Ni kuchezea pesa huku.
Na hii iwaendee na Yanga pia japo wanacheza lakini hawafikii yale tunayotarajia ni heri hizo pesa tukawaboreshea maslahi wachezaji wetu wa ndani kuliko kupiga pata potea za kindezi kama Juma Mba na kina Niang mzee wa Powerbank.
Bado ule upungufu wao wa msimu uliopita umebaki kwenye nafasi ya ushambuliaji lakini bado wanasuasua kupafanyia kazi. Leo wamesajili Beki kutoka Ghana Maliki Ismaila na wanamuacha Mavugo sawa Mavugo ili huyu apate nafasi sawa Mavugo hajafikia malengo ya timu, kwa nini usitoe Mavugo ukaleta Chuma kikali cha ushambuliaji!!??
Nasikia Kuna mfungaji bora wa Rayon Sport anakuja hiyo maana yake Kuna mchezaji mwingine wa kimataifa atakatwa...
Unamsajili mchezaji wa kimataifa kwa gharama anakuja anakaaa benchi kama ilivyokuwa kwa Blagnon na sasa Gyan afu katikati ya msimu tunamuacha. Si Ni kuchezea pesa huku.
Na hii iwaendee na Yanga pia japo wanacheza lakini hawafikii yale tunayotarajia ni heri hizo pesa tukawaboreshea maslahi wachezaji wetu wa ndani kuliko kupiga pata potea za kindezi kama Juma Mba na kina Niang mzee wa Powerbank.