Biashara gan hiyo ya utalii utafanya kwa kutangaza kupitia Simba?!Kuna udhamini unafanyika bure kipindi hiki cha biashara ni matangazo?
Mpunga lazima umewekwaWizara itoe pesa ya kutosha. Hiyo promo ni kubwa sana ukizingatia sisi kama nchi ni matajiri na tunatembea vifua mbele.
Hivi ili ni swali la kuuliza kweli?Biashara gan hiyo ya utalii utafanya kwa kutangaza kupitia Simba?!
Au visit kigamboniNyani fc wanatakuja na visit dimbwili la jangwani
Hii ni hatua nzuri sana, lakini serikali iwalipe simba isiwe ni bure tuHuu ndio ujumbe uliopo huko Instagram, ambapo Mabingwa wa Nchi, Simba Sports Club kwa makubaliano maalum na Wizara ya Utalii, watavaa jezi zao zenye maandishi, "Visit Tanzania" lengo ni kutangaza kimataifa na kuwavutia wageni mbalimbali kuja kufanya utalii nchini...
We unaonaje?!Hivi ili ni swali la kuuliza kweli?
Wanatangaza utalii wa Tanzania AfricaHuu ndio ujumbe uliopo huko Instagram, ambapo Mabingwa wa Nchi, Simba Sports Club kwa makubaliano maalum na Wizara ya Utalii, watavaa jezi zao zenye maandishi, "Visit Tanzania" lengo ni kutangaza kimataifa na kuwavutia wageni mbalimbali kuja kufanya utalii nchini.
Ikumbukwe wadhamini wa Simba, kampuni ya kamari itabaki palepale kama wadhamini wakuu wa klabu. Ila Simba hawatowatumia kwenye mechi za Klabu bingwa Afrika kutokana na sheria za kamari kubanwa na CAF.
Unaonaje mpango huu wa Simba? Big Yes or Big No?
Nyani fc wanatakuja na visit dimbwili la jangwani
Hata Rwanda alikuta kuna watu wanatumia huo msemoHii itaonekana tumeiga slogan ya Rwanda mkuu.
Aisee Shadeeya hili wazo si linafaa kwa maslahi mapana ya Club yetu Yanga?Hii ndo tofauti ya Wananchi na wenye Nchi
Ikiwezekana Uto waweke kwenye jezi zao Visit Chura ili wachina wakiona wajua kitoweo kipo Jangwani [emoji1787]
Alituchelewesha wapi hizi ndio tabia za jamaa wa Chato kila kitu anaona yeye ndio kafanya ilihali waliotangulia walimtengenezea mazingira mazuri kwahio Senzo hakufanya kitu?Huyu Dada wa Simba hapoi nimemuelewa Sana...senzo alikuwa anatuchelewesha..
Alifanya nini huyo mzulu?Alituchelewesha wapi hizi ndio tabia za jamaa wa Chato kila kitu anaona yeye ndio kafanya ilihali waliotangulia walimtengenezea mazingira mazuri kwahio Senzo hakufanya kitu?
Tuambie wewe senzo alifanya niniAlituchelewesha wapi hizi ndio tabia za jamaa wa Chato kila kitu anaona yeye ndio kafanya ilihali waliotangulia walimtengenezea mazingira mazuri kwahio Senzo hakufanya kitu?
Kutangaza utalii wa nchi ni kuiga?Hii itaonekana tumeiga slogan ya Rwanda mkuu.