Simba kutangaza utalii wa Tanzania kwenye CAF Chamipons League

Simba kutangaza utalii wa Tanzania kwenye CAF Chamipons League

Hapo wamechemka bado Kama utaangalia idadi ya watalii wanaokuja Tanzania wengi ni ngozi nyeupe sisi waafrica kutokana na umasikni wetu pia na kutokua na culture ya kufanya utalii naona kabisa hii idea aitakua na impact yoyote kutokana na ukweli kwamba wanaofatilia michuano hii ni sisi wenyewe waafrica wala tusidanganyane kua wazungu wanafatilia michuano hii licha ya kua itakua live kupitia media kubwa kama supersport .
Sasa hapa kama lengo ni kuwashawishi waafrica wenzetu kuja kutalii Tanzania hapo sawa.

Na pia tusisaau aibu tutayoipata wakati simba atakapopigwa hamsa huku kavaa jezi iliyoandikwa vist Tanzania
Ni kweli tungewashawishi wachina kuja nchini kwa kutangaza Vyura Visit...!
 
Hapo wamechemka bado Kama utaangalia idadi ya watalii wanaokuja Tanzania wengi ni ngozi nyeupe sisi waafrica kutokana na umasikni wetu pia na kutokua na culture ya kufanya utalii naona kabisa hii idea aitakua na impact yoyote kutokana na ukweli kwamba wanaofatilia michuano hii ni sisi wenyewe waafrica wala tusidanganyane kua wazungu wanafatilia michuano hii licha ya kua itakua live kupitia media kubwa kama supersport .
Sasa hapa kama lengo ni kuwashawishi waafrica wenzetu kuja kutalii Tanzania hapo sawa.

Na pia tusisaau aibu tutayoipata wakati simba atakapopigwa hamsa huku kavaa jezi iliyoandikwa vist Tanzania
Rwanda mbona hawapati Aibu kwa vipigo anavyokula Arsenal??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo wamechemka bado Kama utaangalia idadi ya watalii wanaokuja Tanzania wengi ni ngozi nyeupe sisi waafrica kutokana na umasikni wetu pia na kutokua na culture ya kufanya utalii naona kabisa hii idea aitakua na impact yoyote kutokana na ukweli kwamba wanaofatilia michuano hii ni sisi wenyewe waafrica wala tusidanganyane kua wazungu wanafatilia michuano hii licha ya kua itakua live kupitia media kubwa kama supersport .
Sasa hapa kama lengo ni kuwashawishi waafrica wenzetu kuja kutalii Tanzania hapo sawa.

Na pia tusisaau aibu tutayoipata wakati simba atakapopigwa hamsa huku kavaa jezi iliyoandikwa vist Tanzania
Nyie vyura ufahamu wenu ni mdogo hasa, CAF championship inaoneshwa na channel kibao cha nje ya Africa, acheni kuleta Utopolo wenu kwenye hoja ya muhimu kama hii
 
Hapo wamechemka bado Kama utaangalia idadi ya watalii wanaokuja Tanzania wengi ni ngozi nyeupe sisi waafrica kutokana na umasikni wetu pia na kutokua na culture ya kufanya utalii naona kabisa hii idea aitakua na impact yoyote kutokana na ukweli kwamba wanaofatilia michuano hii ni sisi wenyewe waafrica wala tusidanganyane kua wazungu wanafatilia michuano hii licha ya kua itakua live kupitia media kubwa kama supersport .
Sasa hapa kama lengo ni kuwashawishi waafrica wenzetu kuja kutalii Tanzania hapo sawa.

Na pia tusisaau aibu tutayoipata wakati simba atakapopigwa hamsa huku kavaa jezi iliyoandikwa vist Tanzania
Tunalifaham hili ndo maana tunawaimiza waafrika wenzetu waje kututembelea tuna create awareness
 
Unamwandikia raia wa Burundi, au Cameroon au Ghana mwenye maisha magumu pengine kuliko hata ya kwako "visit Tanzania" huu ni ubunifu au ni umat*ko?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Huu ndio ujumbe uliopo huko Instagram, ambapo Mabingwa wa Nchi, Simba Sports Club kwa makubaliano maalum na Wizara ya Utalii, watavaa jezi zao zenye maandishi, "Visit Tanzania" lengo ni kutangaza kimataifa na kuwavutia wageni mbalimbali kuja kufanya utalii nchini.

Ikumbukwe wadhamini wa Simba, kampuni ya kamari itabaki palepale kama wadhamini wakuu wa klabu. Ila Simba hawatowatumia kwenye mechi za Klabu bingwa Afrika kutokana na sheria za kamari kubanwa na CAF.

Unaonaje mpango huu wa Simba? Big Yes or Big No?

Yanga wameiga😂😂
 
ni muda wakuja na ubunifu wetu kweny slogan za kitaifa sio kuiga
wakati tunaubunifu wetu
Rwanda wanatuona machoko kweli japo kua wanaitia gundu arsenal ndio maana inapigwa sn
 
Back
Top Bottom