Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana naye 1099%
Kocha hana tatizo tatizo ni wachezajiAnzeni na kocha...huyu bado nina mashaka na story ya kuwepo madrid
Kocha kazingua bwana toka mechi ya pirates. Wachezaji wanawekza kuwa quality mbovu pia hatukatai ila tactical acumen ya jamaa hapana kabisakocha hana tatizo tatizo ni wachezaji
Huyo kocha haponi kabisaaAnzeni na kocha...huyu bado nina mashaka na story ya kuwepo madrid
Wee bwana hata kama mfua soksi kuna kitu utajua tuu yaani kuwepo tuu pale tayari umejifunza unajua ah kumbe hapa wanafanyaga hivi.Anaweza kua alikuwepo kweli Real Madrid, lakini kama nani? Ukute mfua soksi za wachezaji tu
Kama muokota mipira kipindi timu ikiwa inafanya mazoeziAnaweza kua alikuwepo kweli Real Madrid, lakini kama nani? Ukute mfua soksi za wachezaji tu
Ila sasa naona ni muda wa kumpa Matola timu...tuachane na hizi porojo za makocha wa kigeni. Kama tunaleta kocha wa kigeni basi tulete wa ukweli na boss aache ujinga tulipe hela za maaa sio vijisentiUyo kocha haponi kabisaa
Though ni maoni yako na siwezi kukupinga ila binafsi yangu naona tatizo kubwa kwa wachezajiKocha kazingua bwana toka mechi ya pirates. Wachezaji wanawekza kuwa quality mbovu pia hatukatai ila tactical acumen ya jamaa hapana kabisa
Mbona Kama ameshika TANGO .....hii inafikirisha kwa kweli
Kocha ni mpuuzi sana asipoondolewa hali itakuwa mbaya zaidi.kocha hana tatizo tatizo ni wachezaji
MugalU sio mchezaji bwana, huyo Denis nae flatters to deceive basi.Though ni maoni yako na siwezi kukupinga ila binafsi yangu naona tatizo kubwa kwa wachezaji
Wachezaji wanatoa pasi kwa timu pinzani na sometimes wanakuwa selfish wenyewe kwa wenyewe, kila mtu anataka aonekane star kwenye mechi muhimu
Mugalu ma big ji, kibu marasta, sakho na vibaiskeli vyake ambavyo kwa uzembe kabisa vimemfanya mpaka nisahau mara ya mwisho kufunga ilikuwa lini
Hivi kwa ukubwa wa Simba inakuaje shughuli kupata Quality Players?Mugali sio mchezaji bwana, huyo denis nae flatters to deceive basi.
Quality players bwana kiwapata ni shughuli. Ata hivyo ni upepo four years wameenjoy sasa time to rebuild