Simba kutolewa Nusu Fainali ya FA Cup, MO Awaka

Simba kutolewa Nusu Fainali ya FA Cup, MO Awaka

Anawaka vipi wakati anajua alikiwa anacheza na mkubwa mwenzake chochote kingeweza kutokea? Au alidhani anacheza na ihefu? Kama ka mashujaa kaliwahi kumtoa jasho sembuse mswahili mwenzake wanaotumia mganga mmoja?
 
Hivi kwa ukubwa wa Simba inakuaje shughuli kupata Quality Players?
Simba sio timu kubwa kama mnavyojiaminisha.

Mchezaji top anaenda tp mazembe, ligi ys south africa au egypt.

Makapi yaliyobaki ndo mnaenda kuokota nyie.
 
Yanga na yenyewe iko hoi sana!! Hiyo simba ya leo haikuwa ya kufunga goli moja tu!! Yanga hana cha kujivunia!! Angekuwepo Manula hilo shuti angepangua bila shida! Na kwenye matuta angezuia mawili!! Kama ni ushindi, yanga ilishinda siku Manula alipoumia!!
Mahaba niue. Alifungwa na Morrison kwenye free kick na mpira anauona itakuwa shuti la kushtukiza la Fei?
 
Mtunisia yupo vizuri, huenda akawa ni best coach kuwahi kutokea katika klabu ya Yanga
 
Kwani Yanga Haijawahi Kushinda Na Manula Wenu Akiwepo?, Shuti La Chini Chini Tu La Mayele Kwenye Ngao Ya Jamii Kashindwa Kuliona Angeweza Kupangua Lile Kombora Fei? Em Fanya Rejea Ukaangalie Goli Alilofungwa Na Balama Mapinduzi Kwanza Tar 4/01/2020.
Balama Revolution Alishawahi kumtungua kama la Fei, Mauya Kipara pia Alishawahi kumtungua kama la Fei pia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mbona Katoa pongezi Kiuanamichezo kbs, Wapi alipoWaka..?

Hlf katoa Maoni yake Kwamba bodi ya timu inahitaji kufanya maamuzi magumu yatakayo husisha Ukarabati Mkubwa..! Hivyo tu.

Huu ni Uungwana kbs,
Of course,
 
Yanga na yenyewe iko hoi sana!! Hiyo simba ya leo haikuwa ya kufunga goli moja tu!! Yanga hana cha kujivunia!! Angekuwepo Manula hilo shuti angepangua bila shida! Na kwenye matuta angezuia mawili!! Kama ni ushindi, yanga ilishinda siku Manula alipoumia!!
Hujui kitu wewe, kwenye derby huyo anayeonekana mbovu ndio anashinda na kwani Yanga hajawahi kumfunga Simba huyo Manula akiwemo.
 
Wakati tunaanza msimu huu niliangalia timu ya simba na conclusion yangu ni kuwa haina washambuliaji wazuri hapo ndio pana udhaifu mkubwa sana.

Kwanza ni miujiza kupata mafanikio waliyonayo kwa sasa kwa aina ya washambuliaji wao.

Ni mshabiki wa Simba ila siangalii mechi yeyote maana najua tuna safu mbovu ya ushambuliaji.
 
kocha hana tatizo tatizo ni wachezaji
mkuu kocha ana tatizo ,haiwezekani wachezaji wote wadrop kiwango kwa wakati mmoja na wapya wakose chemistry kwa msimu mzima
 
Wakati tunaanza msimu huu niliangalia timu ya simba na conclusion yangu ni kuwa haina washambuliaji wazuri hapo ndio pana udhaifu mkubwa sana.

Kwanza ni miujiza kupata mafanikio waliyonayo kwa sasa kwa aina ya washambuliaji wao.

Ni mshabiki wa Simba ila siangalii mechi yeyote maana najua tuna safu mbovu ya ushambuliaji.
lakini suala la mastrika mashabiki walipigia kelele tangu usajili unaanza na walipoenda kuweka kambi,mechi zote walizoweka kambi Morocco walikuwa wanatoa draw ,hata waliporudi kabla ya ngao ya hisani bado michezo yote ya kirafiki ilikuwa draw tena na timu za ndani,viongozi walipotezea usajili wa mastreika
 
Simba ingeachana na matola pia ingekua jambo la kheri haiwezekani kila kocha anaekuja msaidizi wake ni Matola matola mswahili mwenzetu yule sisi waswahili tunajuana majungu ndyo tume Qualify kuna mda wachezaji wanacheza kama vile wamefungwa matofali miguuni inawezakua kuna tabaka kwenye timu na chanzo ni majungu ya matola makocha wawe wanakuja na wasaidizi wao ndyo vilabu vikubwa vinafanya ivyo
 
Back
Top Bottom