Sio daily ni kila siku. Jifunze kiswahili fasaha mbumbumbuSiyo kulogwa ni Kurogwa. Mjitahidi kwenda shule madogo siyo mnashinda JF kuandika upupu tu daily.
wamekuwa kama raia wa GOMA...huruma haki ya MunguHawa ndugu zetu sijui wamelogwa na nani, Wakati dada zao wanautumia chamazi kama uwanja wa nyumbani wao wamekimbilia mkoani Morogoro kisa wanaogopa kulogwa.
Walikimbilia CCM kirumba mkoani Mwanza wakaishia kudondosha points, sasa wamehamia Morogoro wakizani labda wataepuka vipigo.
Niwaambie tu ya kwamba Uwanja hauchezi mpira, mtatangatanga kote lakini mkikutana na Yanga ni kipigo tu km cha mbwa mwizi na Ubingwa mtaishia kuusikia tu.
Cc. RAGE
Mkuu tangu lini mbumbumbu wakatumia kichwa kufikiria mambo?Kuna watu Simba huwa hawatumii vichwa kabisa. Uwanja mbovu kabisa ule
Wapi majini fc wamesema wanataka simba acheze chamazi? Kwani zile 5 tuliwapiga chamazi? Popote pale mtapoenda kipigo kiko palepaleLkn MAJINI FC pale Chamazi mmeweka nn kwann mnataka Simba achezee hapo.kama Simba mkicheza nae pale CHAMAZI Timu haitaruka ukuta?????
Bora wamehama pitch ya kirumba mbaya wangepoteza games nyingi za ligi