utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Zikiwa zimesalia siku tatu kabla ya dirisha la usajili kufungwa, klabu ya Simba ipo mbioni kuwatema wachezaji hao ili kupisha nafasi ya kusajili wachezaji wapya.
Ikumbukwe nafasi za wachezaji wa kigeni tayari zimeshajaa hivyo klabu inalazimika kuwavunjia mikataba wachezaji hao ili ipatikane nafasi ya kusajili wachezaji wapya.
N.b Dirisha la usajili linafungwa tar 15/Jan
Ikumbukwe nafasi za wachezaji wa kigeni tayari zimeshajaa hivyo klabu inalazimika kuwavunjia mikataba wachezaji hao ili ipatikane nafasi ya kusajili wachezaji wapya.
N.b Dirisha la usajili linafungwa tar 15/Jan