CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Vipi Kisinda na Makambo wana input yoyote kwenye club?Hapo umtaje Bigirimana tu. Maana huyo Kambole yupo kwenye majaribio, na uwezekano wa kupewa mkataba pia ni mdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Kisinda na Makambo wana input yoyote kwenye club?Hapo umtaje Bigirimana tu. Maana huyo Kambole yupo kwenye majaribio, na uwezekano wa kupewa mkataba pia ni mdogo.
Ila Simba tumezidiPale Simba na Yanga zinapochekana wakati zote kuna mahali zimesajili magarasa
Usajili mwisho keshoKuna sajili mbili makini kabisa kwa Simba hao wameambiwa watafute timu muda..
KWeli?Ila Simba tumezidi
Kamboleee??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikikumbuka okwa nacheka sana.
Hawa Simba ni mbu3 sana, mara okwa anapiga pasi amefumba macho sasa Kiko wapi??
Yule Beki Maduhwa, Mkongo na Chikwende mwaka jana walicheza mechi ngapiKuna timu ilisajili mchezaji kisha ikamfingia ndani kama msukule . Kacheza mechi Moja tu nayo dk 10 mapinduzi cup , leo wanamcheka simba . Hii nchi ni ngumu sana .
Wamesahu hakina kipa Kindoki , Yikpe , surpong , kambole Bigaeli nk leo wanawacheka simba.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kamboleee??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bigirumanaa, mgonjwa wa Enia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bigirumanaa, mgonjwa wa Enia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nini kimemkuta mtani kwa kipindi cha miaka 2 sasa sajiri zao za kubahatisha unakuta dirisha moja anasajiri wachezaji 8 alafu anaperform vzr mmoja au wawili tuSajili nyingi za Simba ni bahati nasibu
Ulitaka ipokelewe na Pick up?Halafu timu ikirudi inapokelewa na Coaster! Kisa mdhamini anaidai klabu milioni 200, na hivyo kuamua kulitaifisha basi kubwa!!
Bado kuna yule Junior Lokossa! Aliishia tu kutambulishwa, halafu akapotelea kusikojulikana.Yule Beki Maduhwa, Mkongo na Chikwende mwaka jana walicheza mechi ngapi