mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kuna timu ilisajili mchezaji kisha ikamfingia ndani kama msukule . Kacheza mechi Moja tu nayo dk 10 mapinduzi cup , leo wanamcheka simba . Hii nchi ni ngumu sana .Sajili nyingi za Simba ni bahati nasibu
Bila kumsahau mzee wa virastaZikiwa zimesalia siku tatu kabla ya dirisha la usajili kufungwa, klabu ya Simba ipo mbioni kuwatema wachezaji hao ili kupisha nafasi ya kusajili wachezaji wapya.
Ikumbukwe nafasi za wachezaji wa kigeni tayari zimeshajaa hivyo klabu inalazimika kuwavunjia mikataba wachezaji hao ili ipatikane nafasi ya kusajili wachezaji wapya.
N.b Dirisha la usajili linafungwa tar 15/Jan
Nikikumbuka usajili wa Chezaji la EPL Bigirimana na Kambole mmoja akitambulishwa mbele ya Mkutano Mkuu,mwingine akitambulishwa usiku wa manane nabakia kuduwaa leo hii wanavyotaka kuwatimua.Nikikumbuka okwa nacheka sana.
Hawa Simba ni mbu3 sana, mara okwa anapiga pasi amefumba macho sasa Kiko wapi??
Na hata kwa majirani Kambole na Bigirimana mtihani ni huo huoHofu yangu kubwa ni kuhusu tu hela ya kuvunjia mikataba yao.
Timu gani mm siijui itaje na hayo magarasa yataje...Mkuu kuna timu mojawapo imesajili magara timu mzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we hulioni hilo?
Kama hamna hela endeleeni kuogelea kwny madimbwi yenu..matumiz ya nyumba za jirani yanawahusu nini??Wanapelekwa pre season mara 2 ndani ya msimu mmoja, ili tu kuwaweka sawa! Kazi kweli kweli.
Unachekesha wewe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].. Hebu nenda google i search utaipata, ila fununu tu iyo timu ipo palee mitaa ya kariakooTimu gani mm siijui itaje na hayo magarasa yataje...
Nakubaliana nawe katika hili mkuuPale Simba na Yanga zinapochekana wakati zote kuna mahali zimesajili magarasa
Nadhani umesahau mlete mzungu yeye tayari kashajitimua mwenyewe [emoji1][emoji1][emoji1]Nikikumbuka usajili wa Chezaji la EPL Bigirimana na Kambole mmoja akitambulishwa mbele ya Mkutano Mkuu,mwingine akitambulishwa usiku wa manane nabakia kuduwaa leo hii wanavyotaka kuwatimua.
ni kweli mkuu maana simba ilimsajiri Yikpe,kambole,bigirimana,molingaSajili nyingi za Simba ni bahati nasibu
Simba na Yanga hawachekani wote wana vimeo kibaoSajili nyingi za Simba ni bahati nasibu
Makambo na Kisinda unaona kuna mchezaji hapo?Nadhani umesahau mlete mzungu yeye tayari kashajitimua mwenyewe [emoji1][emoji1][emoji1]
Ukiondoa bigirimana na kambole tena yeye hata hajasajiliwa miongoni mwa wachezaji ambao wangetumika kwenye ligi, Kuna garasa gani lingine Yanga?
Njoo kwenu sasa [emoji134][emoji134][emoji134]
Kyombo[emoji1787][emoji1787], akpan[emoji1787][emoji1787],okwa[emoji1787][emoji1787] ouatara[emoji1787][emoji1787] okra[emoji1787][emoji1787]mlete mzungu[emoji1787] niendelee kukutajia??
Muosha, huoshwa. Hata nyinyi huwa mnatusumbua sana humu jukwaani kwa mambo yasiyo wahusu. Hivyo kuweni tu wapole.Kama hamna hela endeleeni kuogelea kwny madimbwi yenu..matumiz ya nyumba za jirani yanawahusu nini??
Hapo umtaje Bigirimana tu. Maana huyo Kambole yupo kwenye majaribio, na uwezekano wa kupewa mkataba pia ni mdogo.Na hata kwa majirani Kambole na Bigirimana mtihani ni huo huo
Unasumbuka sana na Simba aisee...Unachekesha wewe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].. Hebu nenda google i search utaipata, ila fununu tu iyo timu ipo palee mitaa ya kariakoo
Kisinda mbona hujamtaja kama kuongozi wa magalasaNadhani umesahau mlete mzungu yeye tayari kashajitimua mwenyewe [emoji1][emoji1][emoji1]
Ukiondoa bigirimana na kambole tena yeye hata hajasajiliwa miongoni mwa wachezaji ambao wangetumika kwenye ligi, Kuna garasa gani lingine Yanga?
Njoo kwenu sasa [emoji134][emoji134][emoji134]
Kyombo[emoji1787][emoji1787], akpan[emoji1787][emoji1787],okwa[emoji1787][emoji1787] ouatara[emoji1787][emoji1787] okra[emoji1787][emoji1787]mlete mzungu[emoji1787] niendelee kukutajia??
Alishasajiliwa ila uhuni ukafanyika kumleta galasa kisindaHapo umtaje Bigirimana tu. Maana huyo Kambole yupo kwenye majaribio, na uwezekano wa kupewa mkataba pia ni mdogo.