Simba kuweka kambi South Africa Yanga Morogoro

Hawan hela mamelodi mkuu kama yanga tu. Nenda kwenye club za ulaya kama arsenal, man u, liver, real mdrid uliza zipo wapi pre season
Unaweza kutuwekea thamani ya kikosi cha Mamelod dhidi ya Simba?
 
Hapa ndio unaapoona tofauti ya ukubwa wa club. Simba inaenda SA wakati yanga wanaenda moro nauli shilingi elfu 7 tu.

Na hapo ndipo unapojua nani Tajiri wa Kweli na nani Masikini wa Kutupwa.
 
Kambi ya maana ni ile itakayotoa matokeo chanya uwanjani. Mengine ni mbwembwe tu.
 
Wamekula 7-0 huko south Africa ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawan hela mamelodi mkuu kama yanga tu. Nenda kwenye club za ulaya kama arsenal, man u, liver, real mdrid uliza zipo wapi pre season
moja ya comments za kushangaza ndani ya JF,Mamelodi Sundown FC(BRAZILIANS)hawana fedha?wewe unaonekana ni sports delinquent.Google na uangalie mapato ya Sundown FC na mmliki wake na ulinganishe na timu ya chama dola (Yanga),soma to understand .
 
Nawaza tu, hivi Kagera sugar anapokufunga kila Mara kambi yake ya pre season uwaga ni wapi vile???
Hiyo kambi yake ya pre season ndo imempelekea aifunge simba lakini aishie kucheza match za play off kukwepa kushuka daraja...simba waliofungwa na huyo kagera ndo mabingwa wa tanzania na wamefika robo fainali ligi ya mabingwa africa
 
Hiyo kambi yake ya pre season ndo imempelekea aifunge simba lakini aishie kucheza match za play off kukwepa kushuka daraja...simba waliofungwa na huyo kagera ndo mabingwa wa tanzania na wamefika robo fainali ligi ya mabingwa africa
Wabongo bwana hatuwezagi kujibu maswali sijui kwa nini? Jibu swali maelezo yote hayo ya nini?
 
Wabongo bwana hatuwezagi kujibu maswali sijui kwa nini? Jibu swali maelezo yote hayo ya nini?
Sasa nani alikwambia simba wanaweka kambi nje ya nchi ili wamfunge kagera....sisi tunaweka kambi nje ili tuchukue ubingwa na kufika mbali michuano ya kimataifa....na malengo yalitimia....nyie mliomfunga kagera ndo mmechukua ubingwa si eti???na sisi tuliofungwa na kagera tumekosa ubingwa sawaaaa???
 
Bado
 
YANGA wamepiga Kambi hapa SUA Leo wanavuna viaz vitamu. Asante zahera kwa uzaelendo kwa nchi yetu kuelekea uchumi wa kati....YANGA wameiva Sasa kwenye tasnia ya kilimo maana soka limewashinda😂😂😂😂
YANGA a.k.a kwasukwasu FC
 
Yanga moro karibu na babu wameangalia cost ya kumsafirisha babu na vifaa vyake ni kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…