Simba kuweni makini na AS Vita

Huyo wakala ni muhuni, Djuma amemaliza mechi na Gambia dakika 90, hizo injury amezipata lini? Aliyeumia ni Luzolo Sita, beki wa kushoto wa DRC na Vita
Bado hujaamini tu kuwa Djuma Shabani kuwa hayupo mechi hii, alipata injury mazoezini akiwa na timu yake ya Vita, na hii ni baada ya mechi ya DRC na Gambia.
 
Djuma Shabani amepata injury na hatakuwepo, wakala wake amethibitisha hatakuwepo kwa muda mrefu, hayupo katika msafara wa Vita kuja Tanzania na hajaombewa viza ubalozi wa Tanzania nchini Congo kuja TZ, haji.
Huyo mlinzi yupo na yupo hapa nchini pamoja na wachezaji wenzake! Hiyo ilikuwa ni janja ya nyani tu!!
 
Mashabiki wa yanga jitafakarini sana. Tunakoelekea ligi ya bongo itakuwa kama ligi ya Bundersliga. Natoa tahadhari tu. Achaneni na kupokea kauli za viongozi wenu kuwa kila mara simba anabebwa nyie mnahujumiwa. Jitafakarini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…