HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Bado hujaamini tu kuwa Djuma Shabani kuwa hayupo mechi hii, alipata injury mazoezini akiwa na timu yake ya Vita, na hii ni baada ya mechi ya DRC na Gambia.Huyo wakala ni muhuni, Djuma amemaliza mechi na Gambia dakika 90, hizo injury amezipata lini? Aliyeumia ni Luzolo Sita, beki wa kushoto wa DRC na Vita