Simba kuweni makini na drones wakati wa mazoezi yenu Casablanca

Simba kuweni makini na drones wakati wa mazoezi yenu Casablanca

Yes mwarabu anaweza fungika ila hii mbinu ya kujitahidi kuzuia drone kwenye anga ya mazoezi Ya Simba ni ngumu sana kwa sababu utazuia drone na wakati zishafungwa hidden camera.

Mi nadhani jambo la muhimu ni nyie kuharibu mipango ya mwarabu hasa kwa sababu nyie ndio mna advantage kwakua mnaongoza
Labda wazipopoea mawe
 
Cha kushangaza siku hizi Simba na Yanga zinapendelea kucheza mechi zao usiku ila hazifanyia kabisa mazoezi usiku. Hata zikienda nje na mechi ni usiku sikumbuki kuziona zikifanya mazoezi muda huo wakati inabidi wafanye hivyo kuzoea hali ya hewa ya muda huo.
Chief unamansha usiku wa bunju ufanane na usiku wa Muhammad V
 
Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.

Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.

Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.

Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.

Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Nendeni hata France, mkaweke kambi kule.

Jamaa wao wanawasubiria hiyo tareh 29
 
Chief unamansha usiku wa bunju ufanane na usiku wa Muhammad V
Simaanishi kwa gemu hii maana walishaondoka ila wafunge taa huko Bunju hata za mchongo au wafanyie mazoezi yao ya usiku Gymkhana kama kuna kaubaridi wanapokuwa wanajiandaa kucheza kwenye hali hizo. Raja na Wydad walipokuja Dar wote walifanya mazoezi usiku.
 
Yes mwarabu anaweza fungika ila hii mbinu ya kujitahidi kuzuia drone kwenye anga ya mazoezi Ya Simba ni ngumu sana kwa sababu utazuia drone na wakati zishafungwa hidden camera.

Mi nadhani jambo la muhimu ni nyie kuharibu mipango ya mwarabu hasa kwa sababu nyie ndio mna advantage kwakua mnaongoza
Hoja yako imepitishwa na kamati kuu. Hakuna anayeitamani hii mechi kama mzee wetu Robertinho.
 
Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.

Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.

Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.

Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.

Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Kwa hiyo mkitolewa, sababu kuu itakuwa ni hizo drones, au itabakia kuwa ile ile ya miaka nenda; ya wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji wenu?
 
Kwa hiyo mkitolewa, sababu kuu itakuwa ni hizo drones, au itabakia kuwa ile ile ya miaka nenda; ya wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji wenu?
Kufungwa ni sehemu ya mchezo ila Simba haijawahi kucheza kinyonge hata awe anacheza na nani.
 
Kufungwa ni sehemu ya mchezo ila Simba haijawahi kucheza kinyonge hata awe anacheza na nani.
Kesho usiku nitaitathmini hii kauli yako, ili kuona kama ina ukweli! Au umeandika tu kishabiki.
 
On paper Wydad are a better side compared with the underdogs Simba although nothing can be taken for granted in the game of soccer because always victory hangs in balance before the actual kick off.
 
Back
Top Bottom