Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Labda wazipopoea maweYes mwarabu anaweza fungika ila hii mbinu ya kujitahidi kuzuia drone kwenye anga ya mazoezi Ya Simba ni ngumu sana kwa sababu utazuia drone na wakati zishafungwa hidden camera.
Mi nadhani jambo la muhimu ni nyie kuharibu mipango ya mwarabu hasa kwa sababu nyie ndio mna advantage kwakua mnaongoza
Mtani usiwe na presha kesho mnyama anashindaMwarabu siyo mungu, naye anafungika vizuri tu
Chief unamansha usiku wa bunju ufanane na usiku wa Muhammad VCha kushangaza siku hizi Simba na Yanga zinapendelea kucheza mechi zao usiku ila hazifanyia kabisa mazoezi usiku. Hata zikienda nje na mechi ni usiku sikumbuki kuziona zikifanya mazoezi muda huo wakati inabidi wafanye hivyo kuzoea hali ya hewa ya muda huo.
Aahahaaaamtamuua mgonjwa kila mtu anakuja na dawa yake
Nendeni hata France, mkaweke kambi kule.Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.
Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.
Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.
Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.
Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Wydad anafungika,na hiyomkesho anakufaYeyote anafungika sawa lakini kumbuka ni mechi ya maamuzi dhidi ya mwaràbu akiwa nyumbani kwake
AahaaaaaMpaka wewe umejua hyo mbinu jua kbs waaarabu walishaupdate na wana namna nyngn kbs
Simaanishi kwa gemu hii maana walishaondoka ila wafunge taa huko Bunju hata za mchongo au wafanyie mazoezi yao ya usiku Gymkhana kama kuna kaubaridi wanapokuwa wanajiandaa kucheza kwenye hali hizo. Raja na Wydad walipokuja Dar wote walifanya mazoezi usiku.Chief unamansha usiku wa bunju ufanane na usiku wa Muhammad V
Hoja yako imepitishwa na kamati kuu. Hakuna anayeitamani hii mechi kama mzee wetu Robertinho.Yes mwarabu anaweza fungika ila hii mbinu ya kujitahidi kuzuia drone kwenye anga ya mazoezi Ya Simba ni ngumu sana kwa sababu utazuia drone na wakati zishafungwa hidden camera.
Mi nadhani jambo la muhimu ni nyie kuharibu mipango ya mwarabu hasa kwa sababu nyie ndio mna advantage kwakua mnaongoza
Kwa hiyo mkitolewa, sababu kuu itakuwa ni hizo drones, au itabakia kuwa ile ile ya miaka nenda; ya wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji wenu?Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.
Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.
Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.
Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.
Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Kufungwa ni sehemu ya mchezo ila Simba haijawahi kucheza kinyonge hata awe anacheza na nani.Kwa hiyo mkitolewa, sababu kuu itakuwa ni hizo drones, au itabakia kuwa ile ile ya miaka nenda; ya wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji wenu?
Kesho usiku nitaitathmini hii kauli yako, ili kuona kama ina ukweli! Au umeandika tu kishabiki.Kufungwa ni sehemu ya mchezo ila Simba haijawahi kucheza kinyonge hata awe anacheza na nani.
Kesho Afrika nzima watakuwa wanaangalia Simba akicheza. Hiyo ndiyo mechi pekee ya soka ya kimataifa itakayochezwa Afrika nzima siku hiyo. Nadhani hii ni rekodi nyingine inayowekwa na Simba.Kitu pekee kitakacho waokoa ni kugomea mechi
Inasaidia nini hio record?Kesho Afrika nzima watakuwa wanaangalia Simba akicheza. Hiyo ndiyo mechi pekee ya soka ya kimataifa itakayochezwa Afrika nzima siku hiyo. Nadhani hii ni rekodi nyingine inayowekwa na Simba.