kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Huyu jamaa kwa jinsi alovyoondoka ni dhahiri yuko kwenye vita vikali sana na Simba vikiendeshwa chini chini.
Hata msishangae sana kile kipigo south Africa alihusika katika kutengeneza fitna.
Sasa kwenye hii kesi ya Morrison,naamini ana nyaraka za siri na zinaweza hata kuwa za kughushi,kwani alikuwa na mamlaka makubwa pale Simba.Nani ajuaye kama nyaraka hizi hazitatumika kuwahukumu Simba?
Je ana mawasiliano gani na rais wa CAF?
Simba msimchukulie poa huyu jamaa,kwani anafuatilia nyendo zenu zote na siku mkikosea tu na kuingia kwenye 18 zake,mmekwisha.
Huyu jamaa ameamua kuufanya utani wa Simba na Yanga kuwa ugomvi wa kimataifa unaofanywa kimafia.Hawa wa south wana roho mbaya sana na vidasi vyao haviishi.Msije mkashangaa mnashushwa daraja. Muda utaongea
Hata msishangae sana kile kipigo south Africa alihusika katika kutengeneza fitna.
Sasa kwenye hii kesi ya Morrison,naamini ana nyaraka za siri na zinaweza hata kuwa za kughushi,kwani alikuwa na mamlaka makubwa pale Simba.Nani ajuaye kama nyaraka hizi hazitatumika kuwahukumu Simba?
Je ana mawasiliano gani na rais wa CAF?
Simba msimchukulie poa huyu jamaa,kwani anafuatilia nyendo zenu zote na siku mkikosea tu na kuingia kwenye 18 zake,mmekwisha.
Huyu jamaa ameamua kuufanya utani wa Simba na Yanga kuwa ugomvi wa kimataifa unaofanywa kimafia.Hawa wa south wana roho mbaya sana na vidasi vyao haviishi.Msije mkashangaa mnashushwa daraja. Muda utaongea