venance7
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 558
- 1,645
Nimeona tetesi za kocha Suleiman matola kuwa ndio anakuja kuwa mrithi wa Aussems,kiuhalisia kwangu sioni kama ni mtu sahihi kabisa,
Mimi sio hater wa matola bali ni mshabiki wake namba moja lakini katika suala la kuwa kocha mkuu Simba kwangu siafiki kabisa.Nina shaka na uwezo wake hasa kimataifa viongozi tafuteni kocha mwenye CV kubwa kimataifa,swala sio kuwa na wazawa ambao bado hawana viwango, Matola anafaa zaidi kuwa msaidizi ila sio kupewa ukocha mkuu hasa kwa Simba.
Mimi sio hater wa matola bali ni mshabiki wake namba moja lakini katika suala la kuwa kocha mkuu Simba kwangu siafiki kabisa.Nina shaka na uwezo wake hasa kimataifa viongozi tafuteni kocha mwenye CV kubwa kimataifa,swala sio kuwa na wazawa ambao bado hawana viwango, Matola anafaa zaidi kuwa msaidizi ila sio kupewa ukocha mkuu hasa kwa Simba.