Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,473
Simba watakuja kujuta na hivi sasa nimeanza kuelewa kwa nini makocha wa kigeni hawapendi makocha wasaidizi wa TZ kwa sababu za majungu na kujifanya kuwa wanajua ilhali wote tunafahamu kuwa hawatufikishi mbali.Anakuwa kocha msaidizi sio kocha mkuu
Majuzi nilimsikia kocha msaidizi wa Aussim ambaye ni mtz alivyokuwa akimponda aliyekuwa bosi wake ambaye ndiye aliyebadilisha mpira wa simba na kuonekana tishio.