Simba kwa kujitakia mikosi

Khalifavinnie

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
2,796
Reaction score
2,367
Kweli simba wanajiua wenyewe mwaka jana tunda kaingia na jeneza ,mwaka huu wamejinyongà hii ni ishara mbaya kwao.....Makombe mtayasikia tu kwa Jirani maishani.....
 
Jeneza limecheza namba ngapi?
Jeneza lilicheza baada ya kulileta uwanjani ulishaambulia ata kombe la kahawa? Tuonyeshe kombe ulilolipata tokea muingize jeneza uwanjani kwa misimu 2!
 
Kweli simba wanajiua wenyewe mwaka jana tunda kaingia na jeneza ,mwaka huu wamejinyongà hii ni ishara mbaya kwao.....Makombe mtayasikia tu kwa Jirani maishani.....
Sahivi hawatakuelewa si unajua ni MBUMBUMBU [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…