Simba: Kwa sajili hizi, msimu ujao tusiingize timu uwanjani

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Ni hujumaaa

Msimu wa ligue unaokuja hatutaleta team uwanjan hakuna fair compétition mnaleta wachezaji toka Newcastle uko ulaya mara rayo valacano wakat wenzenu tunasajili wakina kyombo walio toka kuishusha team daraja

Yanga mtafute ligi yenu huu uwonevu ndio maana mnamaliza ligi bila kufungwa

Ndugu zangu Wana Simba lazima tuongee hili .....haiwezekani tuna mtoa Morrison ( caterpillar) halafu tunaleta kyombo (baiskeli) Kitu ambacho tunajiuliza Kama Simba Kuna experts wa mambo ya mpira

Mark my words.....mwisho wa msimu ujao tutaanza kupigana kucheza play off......suluhisho ni kuikacha ligue kwa muda
 
Vyuma kutoka overseas,. Abroad wanakuja kuiheshimisha ligue .......ama kweli LaLiga hawakukosea kuwapongeza mabingwa Hawa [emoji23][emoji23]View attachment 2285962
Kwa huyu sioni lolote la maana, wengi tu mtakuja kumkataa nyinyi subirini ligi ianze, yani sioni atamweka nani benchi pale maana waliopo wana viwango far better kuliko yeye.

Hapa ni kama mmesajili mchezaji wa ndani tu, unless muwe mnafurahia profile yake.
 
Hata Saido mlitoa kauli hizi hizi,oh mara mstaafu amekaa miaka miwili hana team. Kwa hiyo tushawazoea.
 
Bado hujafuatili mpira wake ......hivi ni baadhi ya viwango vyake

Pass accuracy [emoji817]%....jamaa ana piga pasi 70m inamfikia mchezaji mwenzake

Ball control [emoji817]% mpira uko miguuni

Kuhusu kufunga .....yeye sio mfungaji
 
Unauliza swali wakati jibu unalo! Si mnataka kumsajili nyinyi! Au mmeshindwana dau kama ilivyokuwa kwa yule Adebayor?
Nani alikwambia kwamba SIMBA Sc imemsajili Saido?

Saido ni mfano wa wachezaji waliowahi kucheza ulaya ila hawajawapa mlichotarajia hapo Yanga Sc, na wote hao wanaletwa na Kaze (mzee wa 10%)
 
Play off itacheza timu yako ya Ruvu shooting, Dodoma jiji, polisi Tz,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…